Fanya haya hamu ya sex itarudi

Fanya haya hamu ya sex itarudi

kwenye ponography SIKUBALIANI!kwa mengine uko sawa kbs nakshi.Ponos inacreate addiction,itafkia ha2a mwenza hakusisimui ad ubust na pono!

Ni kweli au inawezekana kuwa addicted na hizo pono movies but kwa mm siwezi kuangalia na mtu napenda niangalie peke yangu
 
Kusoma hiii tu Yani hapa nna genye tayari..ni kweli kabisa...esp kwa wenye ndoa
pokea like...
Ila mhhhh 'piemu' kuna mambooo hehhe

Hahahahahah, ki ukweli hata mimi ilinishtua kidogo
 
Kusoma hiii tu Yani hapa nna genye tayari..ni kweli kabisa...esp kwa wenye ndoa
pokea like...
Ila mhhhh 'piemu' kuna mambooo hehhe

maandishi yanasisimua eeh, ungekuwa road ukutane na mtu akaongeza hapo vocal nadhani mstari ungenyooka.
 
Vipi na ile ya kubadilisha sehemu ya faragha.Maana wengine tunabadilisha sehemu hizo mara inaweza ikawa vichochoroni,hotelini,kwenye gari.
 
hapokwenye kuangalia ngono pamoja hapo kwa kweli sikubaliani na wewe walau useme muangalie kamasutra mpate kujifunza baadhi ya vitu ila sio real ngono.
 
Mimi naona kuna prinsiple moja...hasa kwa ss wanaume ukimpenda mtu either mchumba au mke..yaani umpende kabisa ile ya kumkubali unavutiwa nae kabisa basi haya mambo mengine inakua rahisi sana..hamu itakuja, utamridhisha, utamletea zawadi, utafanya kila kitu especily ukutane na mwanamke ambaye nae anaakili zake anaelewa...lkn sasa kibongo bongo hata uwe na mafuta gani ya kusugua mwili kama upo na mtu km fashion tu, au kama wajibu wa kuoa tu au km sex toy.. Bila upendo wa hali ya kutoka moyoni ni matatizo sana..na we usually we start with sex n then love while viceversa is true

Its true.Kama mapenzi hakuna ndo mwanzo wa hayo yote
 
Back
Top Bottom