Fanya haya hamu ya sex itarudi

Fanya haya hamu ya sex itarudi

Nadhani kuonjana kabla ya ndoa ni muhimu,ya nini kuoa mtu ambaye unaona hakufit,yaani uende dukani ujaribishe kiatu kiwe kikubwa then ukinunue!!
Halafu kila siku ukikivaa kina kupwaya unalalamika!
Na ikitokea ukubwa wa papuchi umeongezeka baada ya kuoana kutokana na sababu moja ama nyingine just suport her,akafanyiwe surgery muishi kwa furaha bila karaha!
na kwenye ukubwa wa uke hapavumiliki....

sawa sawa na kibamia..utawezaje kukivumilia wew kama wakike:tape:
 
Teheeee unaweza lakini? Nisije kuchepuka then nkakuta mechi ya kitoto... itabidi vigezo na masharti vizingatiwe!
we kuja bhana! si unaona wameshatueleza tufanye nini! mi first round naila kwa masaa 48! upo? mambo ya kuitiana polisi, useme mapema kabisaaa!!
 
we kuja bhana! si unaona wameshatueleza tufanye nini! mi first round naila kwa masaa 48! upo? mambo ya kuitiana polisi, useme mapema kabisaaa!!
Hahaaaa baasi sweet potato hii issue weka mbali na watoto, mie najiandaa nakuja wewe nisubiri hapo hapo usitingishike...!
 
Nadhani kuonjana kabla ya ndoa ni muhimu,ya nini kuoa mtu ambaye unaona hakufit,yaani uende dukani ujaribishe kiatu kiwe kikubwa then ukinunue!!
Halafu kila siku ukikivaa kina kupwaya unalalamika!
Na ikitokea ukubwa wa papuchi umeongezeka baada ya kuoana kutokana na sababu moja ama nyingine just suport her,akafanyiwe surgery muishi kwa furaha bila karaha!

Bora kiatu kiwe kikubwa mkuu kuliko kikubane,unakuta mtu anatembea kama anacheza kiduku.
 
Ni nzuri. Lkn sijui michepuko itakimbilia wapi mwaka huu maana wamebanwa kila kona!
 
Bora kiatu kiwe kikubwa mkuu kuliko kikubane,unakuta mtu anatembea kama anacheza kiduku.

Na kikiwa kikubwa utakua unaburuza tu mkuu utachelewa kufika na utamu wa safari hutaupata.
Bora kikutoshe tu kwanini uchukue kiatu kikubwa au kidogo
 
Hahaha "hansad" zangu zinaonesha nilikujibu. Tamka "sheshe" tu inatosha ,japokuwa hilo neno linahusisha tones wakati wa kutamka. NYONGEZA:Maana ya jina langu kwa kiswahili ni ASANTE.
Nimekupata 'sheshe'....'Asante'.
 
duuh tulio single hiv tutaendeleaje kumantain usingle wetu kwa mambo mazuri kama hayo.....
 
Back
Top Bottom