Fancy Nkuhi Vs. Dr. Hildebrand Shayo

Fancy Nkuhi Vs. Dr. Hildebrand Shayo

Nyani Ngabu utanisamehe lakini mimi nitakuita mzandiki. Una roho mbaya sana ya kwa nini??? Hivi unaniambia kwamba Fancy anaweza kujenga hoja zaidi ya Shayo? Bwana hachana na mambo ya roho mbaya kwa watu ambao unawaona wana upeo zaidi yako. Kha... Kwa mwendo huu hatufiki

"Dr." Shayo ni dishonest. Unabisha?
 
yaani vituko ni ndani ya CCM. Hivi inaingiaje akilini watu kama Le Baharia LeMutuz na Fancy Nkui waende mbele kwele hatua ya mwisho katika EALA wakati Dr. Shayo anatemwa?? Huyu binti ana nini, au lebaharia wana ujuzi gani kwenda kutetea Tanzania? Ndo maana ardhi yetu itanyakuliwa
mmesahau kuwa Nape alisemaje kuhusu wenye majina kama ya Shayo, tatizo la watanzania ni wepesi kusahau
 
shayo hana umaarufu kiasi cha kumjadili kama wote tunamfahamu wekeni mambo wazi tuweze kuingiza maoni yetu
 
yaani vituko ni ndani ya CCM. Hivi inaingiaje akilini watu kama Le Baharia LeMutuz na Fancy Nkui waende mbele kwele hatua ya mwisho katika EALA wakati Dr. Shayo anatemwa?? Huyu binti ana nini, au lebaharia wana ujuzi gani kwenda kutetea Tanzania? Ndo maana ardhi yetu itanyakuliwa
Huyo Shayo hayuko serious. Nilishangaa anaomba kura kutoka kwa wabunge wa CCM kupitia Michuzi Blog!!!
 
Mimi binafsi Fancy Nkhui namkubali ni binti ambaye ni makini tatizo siyo yeye tatizo chama chake cha magamba ila yuko vizuri ni mwanasheria nguri menejimenti yuko vizuri anaouwezo wakujisimamia mwenyewe na kuwasimamia wenzaki na kuisimamia hoja yake pia!!Kifupi she is good.
 
CCM wote ukiwascan ukosi gamba kama ufisadi,wizi wa vyeti(elimu),uwezo mdogo wa kufikili.
 
yaani vituko ni ndani ya CCM. Hivi inaingiaje akilini watu kama Le Baharia LeMutuz na Fancy Nkui waende mbele kwele hatua ya mwisho katika EALA wakati Dr. Shayo anatemwa?? Huyu binti ana nini, au lebaharia wana ujuzi gani kwenda kutetea Tanzania? Ndo maana ardhi yetu itanyakuliwa

Ni burudani zawatu hizo kaka
 
Mazee wewe uko hapa tokea 2007 na hujawahi kusoma chochote kuhusu "DR." Shayo?


Nyani Ngabu hata mimi nilikuwa na swali kama la kimbunga. Kuna Dr. Shayo mmoja nilikuwa nikisoma makala zake kuhusiana na mambo mbalimbali je ndiye huyu aliyeibukia CCM? Ni vyema basi kama una taarifa naye ukatujuza huyu jamaa ni nani hasa katika nchi hii, track record yake ya utendaji ni ipi, elimu yake imekaaje - manaake kuna watu wanatanguliza Dr. lakini hawajawahi kuingia darasani, siasa za CCM amezianza lini na yupo kwenye kundi lipi kati ya mafisadi na wanaojiita kuwa wanapingana na mafisadi e.t.c. Nadhani kuna wengine wengi tu humu hawana taarifa hizi kumhusu huyu ndugu.

By the way hata huyu Nkuhi sijawahi kumsikia kabisa.
 
Kwa kweli sasa imefikia hatua ya kulinganisha kifo na usingizi..
[h=2]Fancy Nkuhi Vs. Dr. Hildebrand Shayo[/h]
 
Mimi binafsi Fancy Nkhui namkubali ni binti ambaye ni makini tatizo siyo yeye tatizo chama chake cha magamba ila yuko vizuri ni mwanasheria nguri menejimenti yuko vizuri anaouwezo wakujisimamia mwenyewe na kuwasimamia wenzaki na kuisimamia hoja yake pia!!Kifupi she is good.

Femme Fatale!!!!!!!!!

FANCY-773082.JPG
 
Mbona jamaa anaonekana kichwa ukilinganisha vilaza wengine.. unless kama kuna kingine
 
Yaani William ni bora mara elfu moja kuliko huyo "Dr."Shayo.

Hata kidogo NN unaonekana kumpigia sana debe mcheza vichekesho wako umeahidiwa kitu nini, ila huwezi kulinganisha hao watu wawili. Naona unajitahidi kumuua na kumzika kabisa huyo DR. Eti Fancy??
 
Afadhali Shayo kamwagwa. He is a disaster
 
huyu dem utaanzaje kumlinganisha na shayo??? kutakua na beef flan kati ya main gambaz na jamaa yawezekana alishawakosoa sometimes back, siunajua main gamba ni wa visasi..??

naona wengine wanasema huyo dem amebobea kwenye sheria na management, ebu wekeni nyaraka zake hapa kama mlivoweka za shayo....wengine ni vyakula vya wakubwa af mnawaweka sawa na wasomi waliobobea.....??

kuhusu grammar that is not the big issue, maprof kibao tu pale mlimani wanaoaminika wana grammar mbovu sana tena wengine wapo kule dept ya dev studies(mangwini) na mnajua hilo wengi wenu inaonekana mmepitia mlimani sema basi tu jelous ndo zinawasumbua.

wewe nyani ngabu weka cv yako hapa from primary mpaka hapo ulipo ili twende sawa....mimi sina xperiance ya hivo ila nina div 1.8 olevel, 1.4 advance, chuo 1st class ila ngeli yangu yakuunga mbaya...na wala sibabaiki...mbona wachina hata how are you hawaelewi na bado wanakimbiza kila sector??? acheni ushamba hapa....mnajifanya wajuaji wakati wenigine mpo huko ulaya kubeba box na kuogeza vizee...tokeni zenu hapa.
 
Fancy Nkuhi ni dada mmoja makini sana. Anafaa sana, issue sio udr, ni uwezo wa mtu.
 
Nyani Ngabu utanisamehe lakini mimi nitakuita mzandiki. Una roho mbaya sana ya kwa nini??? Hivi unaniambia kwamba Fancy anaweza kujenga hoja zaidi ya Shayo? Bwana hachana na mambo ya roho mbaya kwa watu ambao unawaona wana upeo zaidi yako. Kha... Kwa mwendo huu hatufiki
I meant what i said
 
Tatizo la elimu ya Shayo ni Phd yake aliyoipatia "Lagos" bora angesoma Mzumbe mara mia
 
Back
Top Bottom