Famous quotes by Famous Tanzanians

Famous quotes by Famous Tanzanians

Katika elimu yangu sikwenda direct moja kwa moja chuoni-mulogo
 
1. Niko tayari kusulubiwa lakini simtaji mmiliki wa meremeta- pinda

2. Aliye mteka dr ulimboka ni mkenya (kichaa) aliyeenda kutubu kwa kanisa la mchungaji gwajima- suleko

3. Kuendelea kuichagua ccm ni maafa -Dr slaa
 
nimesikitishwa sana,nimedhalilishwa sana......-EL alipo kuwa akitetea ugali wake bungeni ktk sakata la richmond
 
we are manufacturing teachers - J the King

Nyingine ndogo....
kama unapenda watoto wa shule valisha mkeo yunifomu - Janjaweed
kama unapenda wake za wa watu mzengee mkeo - Janjaweed
 
we are manufacturing teachers - J the King

Nyingine ndogo....
kama unapenda watoto wa shule valisha mkeo yunifomu - Janjaweed
kama unapenda wake za wa watu mzengee mkeo - Janjaweed

hahaahaahaaaaaaaaaa!!!!mbavu zangu miye jamani weeee.
 
hii ni kweli mkubwa?????kama siamini ujue
mkuu amu unashangaa nini!? Huyo ndio Jk; tena alisema hayo akiwa south africa bbc swahili walipomhoji
 
Last edited by a moderator:
"dr bilal ni shababy haswa" JK
"kama na nyinyi mnataka MOU si muanzishe huduma zenu za kijamii" JK
 
....

....


Ujinga na uharibifu wa mazingira ni ndugu, mama yao ni Umasikini..A H Mwinyi

Kuna tofauti kati ya kuni, na Ukuni!! kuni ni ile ambayo haijakauka, ukuni ni ule uliokauka barabara!! ....AH Mwinyi

Ukitaka kula lazima uliwe...... JM Kikwete

Maendeleo niliyoiletea TZ ni kwamba nimeitoa pale nikaileta hapa....JM Kikwete


..









...
 
Uendawazimu ni kufanya jambo lile lile kwa njia ile ile na kutegemea matokeo tofauti-mchungaji Peter Msigwa

Maneno hayo huyo Pete Msigwa kaya-beba jumla kutoka kwa Albert Einstein

Sana sana alichokifanya yeye ni kutafsiri kwa lugha ya Kiswahili tu.

Ni tabia ile ile ya kuendelea kunukuu watu bila ya kutoa attribution stahili. Shame


 
Home of great thinker- jamii forum
 
Sie wakazi wa kusini kina komba, mapunda,ngonyani, tembo na nk, ni binadamu kama nyie sio wanyama -by mtu mnene bungeni
 
Nikiweka itikadi za vyama pembeni na wala mimi si mkereketwa kiivyo wa mambo ya siasa lakini kwakweli mimi kati ya misemo iliyowahi kunigusa na ambao mpaka leo huwa naukubali katika maisha yangu ni huu “Akili za kuambiwa – Changanya na za kwako”-( J. M Kitwete). Kwani kuna mengi ambayo nimekuwa nikisikia au kushauriwa lakini at the end of the day huwa nakaa chini na kujiuliza mwenyewe hivi mimi kama mimi ni nini msimamo wangu wa mwisho na kufanya maamuzi.
 
Nikiweka itikadi za vyama pembeni na wala mimi si mkereketwa kiivyo wa mambo ya siasa lakini kwakweli mimi kati ya misemo iliyowahi kunigusa na ambao mpaka leo huwa naukubali katika maisha yangu ni huu “Akili za kuambiwa – Changanya na za kwako”-( J. M Kitwete). Kwani kuna mengi ambayo nimekuwa nikisikia au kushauriwa lakini at the end of the day huwa nakaa chini na kujiuliza mwenyewe hivi mimi kama mimi ni nini msimamo wangu wa mwisho na kufanya maamuzi.
unataka kuchukiwa na mjinga?mwambie anapokosea by fid q
 
Back
Top Bottom