Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Na.
Bollen Ngetti
CHADEMA utu wenu uko wapi? Mbona utambulisho wenu ni ushirikiano wakati wa shida lakini mmemkimbia Fulegence Mapunda "Mwanakotide" kwenye shida? Kwa nini Kotide anaugua peke yake bila kuona familia ya Chadema.
Kotide amelazwa St Monica Hospital Manzese yapata wiki mbili ambapo inadaiwa amekuwa-poisoned na wasiojulikana. Kotide anaumia, Kotide hawezi Kula, Kotide hawezi kulala, Kotide analia kwa maumivu. Kotide anamuona mkewe tu pembeni katika mtihani huu. Chadema iko wapi utu wenu?
Kotide ni Mkuu wa Idara ya Propaganda na Hamasa wa Chadema, amekuwa mjumbe wa Kamati Kuu. Kotide ndiye mwimbaji na mtunzi wa nyimbo zote za Chadema. Leo chuma kimelala. Mbowe haonekani, Mashinji kimya. Kotide amekosea nini Chadema hadi kutelekezwa namna hii? Yani wana CCM ndio tunamjulia hali kada wa Chadema? Utu wenu uko wapi?
Kotide tunakuombea kwa Mola Mungu akufanyie wepesi upone kama Tundu Lissu!
#AchaWoga2020
Bollen Ngetti
CHADEMA utu wenu uko wapi? Mbona utambulisho wenu ni ushirikiano wakati wa shida lakini mmemkimbia Fulegence Mapunda "Mwanakotide" kwenye shida? Kwa nini Kotide anaugua peke yake bila kuona familia ya Chadema.
Kotide amelazwa St Monica Hospital Manzese yapata wiki mbili ambapo inadaiwa amekuwa-poisoned na wasiojulikana. Kotide anaumia, Kotide hawezi Kula, Kotide hawezi kulala, Kotide analia kwa maumivu. Kotide anamuona mkewe tu pembeni katika mtihani huu. Chadema iko wapi utu wenu?
Kotide ni Mkuu wa Idara ya Propaganda na Hamasa wa Chadema, amekuwa mjumbe wa Kamati Kuu. Kotide ndiye mwimbaji na mtunzi wa nyimbo zote za Chadema. Leo chuma kimelala. Mbowe haonekani, Mashinji kimya. Kotide amekosea nini Chadema hadi kutelekezwa namna hii? Yani wana CCM ndio tunamjulia hali kada wa Chadema? Utu wenu uko wapi?
Kotide tunakuombea kwa Mola Mungu akufanyie wepesi upone kama Tundu Lissu!
#AchaWoga2020