Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,675
- 4,174
Asante kwa majibu mazuri.
Maswali mengine ninayo yanaendelea kwenye ubongo ingawa yanaeza yasipate majibu.
Swali kama hao mageneral mtazamo wao juu ya demokrasia na uchaguzi huru ukoje?
Wanasimamia wapi? Na how strong are they?
Je mkuu muadilifu kutumwa nje haihusiani na kuwa hawa wanaweza kuruhusu au kuchangia bao la kiganja? Just asking
Pathetic! Yaani kwenye 'equations' zako za kuingia ikulu na kuasi kwa jeshi kumo? Yaani mkuu wa majeshi muaminifu ni yule ambaye ukilalamikia bao la mkono, hata kiulongoulongo, AVIAMURU VIKOSI VYA JESHI VIASI? VITAMTII VYOTE? WEWE NA WENZIO MLIOKAZANIA HUU UPUUZI MNATAKIWA MUENDE KIZUIZINI, KWA UHAINI, HADI BAABA YA UCHAGUZI!
NB: WAKATI MWINGINE MPANGILIO WA MAWAZO YA MTU TU UNATOSHA KUKUAMBIA MAMBO MENGI SANA KAMA UMRI, ELIMU, TAALUMA, IQ, MALEZI......
HUU UPUUZI UNAOENDELEA KUHUSU MKUU WA MAJESHI, NINAVYOONA MIMI, NI MJADALA WA WATOTO. NJE YA HAPO NI MJADALA WA WAHAINI NA USALAMA WA TAIFA HAWAFANYI KAZI YAO!