Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Kwa hiyo ukienda saloon yenye gharama basi ndio huolewi!!!!!!!!!!
I don't believe umesoma yote hayo na umeishia kuandika hayo!!
Kwa hiyo ukienda saloon yenye gharama basi ndio huolewi!!!!!!!!!!
Mapenzi hayana fomula ila yana changamoto za kufanana.
Kukabiliana nazo, kila mtu awe mbayu wayu.
Nimekupata, binafsi naona % kubwa umegusa!
Naiahidi nafsi yangu kudiriki kuyatekeleza japo mengine nlishaanza kuyatimiza kitambo!
Asante sana kwa mtazamo wako!
I don't believe umesoma yote hayo na umeishia kuandika hayo!!
Mapenzi hayana fomula ila yana changamoto za kufanana.
Kukabiliana nazo, kila mtu awe mbayu wayu.
Kwa hiyo ukienda saloon yenye gharama basi ndio huolewi!!!!!!!!!!
Nimesoma part ya wanawake tu ila naona mambo mengi yanakinzana in one way
or another........
Hahahaa haaaa uwiii
HOE bana
Nikasome Biblia yote?
Kwani unadhani Biblia inasemaje kuhusiana na hii topic?
Haha my dia mambo nimekumisije
kasome maandiko yanayohusiana na hilo. mi nakupa kazi halafu we unairudisha kwangu?
Ebooooo
Hahahaa haaaa uwiii
HOE bana
Kwanini asiwe mbahili kiasi?
Kwa mfano?
Ulihitajika usome na ya wanaume pia!
Hivi Jembe kwa kiinglishi ni nini vile?
kwangu mimi sio sifa ya kumuita husband material. kwanini awe mbahili kwanza?
Ngoja nisome na ya kwao pia