bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Asante kwa neno!
Asante sana na ufurahie mke wa ujana wako
Asante kwa neno!
Amen.Stay blessedGod bless
ameeeen.
Asante sana na ubarikiwe nimejifunza kitu Asubuhi ya leo
kazi njema
Asante sana naamini nimepata jambo...mkuu
Hebu rudi kwenye maandiko matakatifu hususani Biblia inasemaje juu ya hii topic yako?
Husband material anakuwa na sifa zifuatazo
Anamjali mkewe
Anajali watoto
Ni msikivu
Mpole kiasi
Mbahili kiasi
N.k
.[/B][/U]
sasa kama hamna watoto utajuaje kama ni husband material? kwa hizo sifa ina maana mpaka ujue husband material ni mpaka akishakuoa.
Ni msikivu
Mpole kiasi
Mbahili kiasi
N.k
Hata hizo?
hiyo mbahili kiasi sio. kwanini awe mbahili bana??? husband material hawezi kuwa mbahili kwa mke wake mtarajiwa.