WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
This is easier said than done. Kwa mfano unajisikiaje ukiwa wewe ndo unamnunulia mwenzio zawadi kila mara, yeye wala hata hajisumbui na si kwamba hana pesa ila tu anona si muhimu or whatever, unakuwa wa kwanza kukomunicate everytime yeye wala, baada ya ndoa habari ya outing haoni umuhimu , anona kama ni anasa, je bado utakuwa na moyo wa kufurahia one way bila kurudishiwa?Je utakuwa na moyo huo?
Mkuu,
Kutoa ni kwa wote.... ukipenda kupokea uwe tayari kutoa pia.... its a two way traffic..
Muhimu mke na mume kufanyiana yale yote yaliyo mema...na pia kuwa tayari kujua mwenzio anapenda nini umfanyie au asichopenda ili usikifanye.