Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,497
- 2,218
Salama Wakuu, sasa nimeamini adui namba moja wa demokrasia na siasa za vyama vya upinzania ni Freeman Mbowe. Wanachama wa CDM wameteswa na wengine kuuwawa na kupotezwa kumbe FAM anajua na anaangalia tu na kengeza lake, katili sana mtu huyu. Hana tofauti na Zito ila yeye kachangamka kuliko Zito. Ni mwenye tamaa ya fedha na yuko tayari watu wafe ili aipate. Mtu hatari kabisa