Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
tatizo anataka tuish kama yeye amezoa wote tuolewe
Ndiyo tatizo la jamii kukaririsha watu , hivyo naye aandika kulingana na alivyokaririshwa .
tatizo anataka tuish kama yeye amezoa wote tuolewe
Mie nashangaa wanawake wanaoishi kwa kuwaza jamii ina wachukulia vipi wakifikisha umri fulani bila kuolewa.hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
Ndio najua kuoa au kuolewa ni chaguo la mtu na pia si sheria,lakini sio suala la jamii yangu,ila ni jamii zote duniani watu WANAOANA AU KUISHI PAMOJA,ILA KIUTU NA KIUBINADAMU,MTU ANAYEISHIMIKA KTK JAMII NI YULE ALIYEOA AU KUOLEWA AU ANAISHI NA MTU. Haina maana unatafuta maisha ukiwa hakuna unaowatafutia,au hakuna wanaokutegemea,ina maana gani sasa ya kuishi si ujinyonge tu ...... Kwa mfano leo hii wewe ndio umeshaishi maisha yako ya kutokuwa na mtu maana yake HUTOKUWA NA MTOTO/WATOTO sasa kesho na keshokutwa umekufa mali ulizozitafuta unamuachia nani au zilikuwa na sababu gani ya kuzitafuta ........... ?Ni jamii yako na jamaaa zako wamekujenga hivyo nawe unawaza hivyo walivyo kujenga.
Ila pana watu wapole , very decent but they don't any biological probs or any other defaults but, still they are not married.
Kuoa au kuolewa kwa mwanaune ama mwanamke it's a Choice
Ndio najua kuoa au kuolewa ni chaguo la mtu na pia si sheria,lakini sio suala la jamii yangu,ila ni jamii zote duniani watu WANAOANA AU KUISHI PAMOJA,ILA KIUTU NA KIUBINADAMU,MTU ANAYEISHIMIKA KTK JAMII NI YULE ALIYEOA AU KUOLEWA AU ANAISHI NA MTU. Haina maana unatafuta maisha ukiwa hakuna unaowatafutia,au hakuna wanaokutegemea,ina maana gani sasa ya kuishi si ujinyonge tu ...... Kwa mfano leo hii wewe ndio umeshaishi maisha yako ya kutokuwa na mtu maana yake HUTOKUWA NA MTOTO/WATOTO sasa kesho na keshokutwa umekufa mali ulizozitafuta unamuachia nani au zilikuwa na sababu gani ya kuzitafuta ........... ?
Yes,life can't be uniform,lakini nakushauri KAMA NA WEWE ULIKUWA UNAISHI HIVO ACHA MARA MOJA NA SIO MAISHA HAYO IKIWA TU UMESHATIMIZA UMRI WA MIAKA ZAIDI YA 25 NA UNAJIMUDU KIMAVAZI,MALAZI NA KULA BASI NI WAKATI MUAFAKA WA KUISHI NA MTU ILI UWE NA WARITHI WA BAADAE NA VILE UNAVYOVITAFUTA SASA VIWE NA MAANA,LA SIVYO HAKUNA SABABU YA KUJIANGAISHA NA KUTUMIA AKILI NYINGI ZA KUTAFUTA WAKATI HAKUNA WANAOKUTEGEMEA KWA LOLOTE,ZAIDI ZAIDI NDUGU WANAZIPIGIA MAHESABU MALI ZAKO,LABDA KAMA UNA MATATIZO YA KIAFYA NDIO UNA JINSI.Any way, life can't be uniform.
Jua la utosi!kuzaa NA ndoa nivitu tofauti Lakini kWA wATU kama wew hawawez kuelewa
Ushauri mzuri sana huu!Yes,life can't be uniform,lakini nakushauri KAMA NA WEWE ULIKUWA UNAISHI HIVO ACHA MARA MOJA NA SIO MAISHA HAYO IKIWA TU UMESHATIMIZA UMRI WA MIAKA ZAIDI YA 25 NA UNAJIMUDU KIMAVAZI,MALAZI NA KULA BASI NI WAKATI MUAFAKA WA KUISHI NA MTU ILI UWE NA WARITHI WA BAADAE NA VILE UNAVYOVITAFUTA SASA VIWE NA MAANA,LA SIVYO HAKUNA SABABU YA KUJIANGAISHA NA KUTUMIA AKILI NYINGI ZA KUTAFUTA WAKATI HAKUNA WANAOKUTEGEMEA KWA LOLOTE,ZAIDI ZAIDI NDUGU WANAZIPIGIA MAHESABU MALI ZAKO,LABDA KAMA UNA MATATIZO YA KIAFYA NDIO UNA JINSI.
Sahihi kabisa mkuu! Kuna mchangiaji mmoja alitoa hoja ya msingi sana.alisema kama huitaji kuoa au kuolewa ishi kama alivyoishi bwana yesu.sio kujifanya hutaki kuoa au kuolewa kisha unaziniKwa mwanamke ni KUOLEWA na kwa mwanaume ni KUOA,hayo ndio maisha na ndio heshima na utu wa binadamu ulipo,na kama ujaolewa au kuoa au uishi na mwenza wako na una miaka zaidi ya 30 basi bila shaka wewe unatatizo la mwili wako au tabia yako. (sizungumzi wenye matatizo yanayowafanya wasioe au kuolewa nazungumzia watu waliokamilika viungo vyao na akili zao.) Huu ndio ukweli kuanzia kwenye vitabu vya dini zote hadi ktk mamlaka za kiutawala mwenye kuoa au kuolewa ndio wenye kuheshimika na HII SIO KUKARIRI ILA NDIO UKWELI AMBAO WENYE CHOYO,WAFUSKA, NA WENYE TABIA MBAYA ZOTE NDIO UJITETEA KWA MANENO KAMA HAYO
Wee kila MTU na maisha yake hatuwez kusikiliza wala kufata mitazamo yako wee sio mungu kama upon ndoan na unaona no vyema in wewe acha tuenjoy life tunayopenda maisha hayana formulaKwa mwanamke ni KUOLEWA na kwa mwanaume ni KUOA,hayo ndio maisha na ndio heshima na utu wa binadamu ulipo,na kama ujaolewa au kuoa au uishi na mwenza wako na una miaka zaidi ya 30 basi bila shaka wewe unatatizo la mwili wako au tabia yako. (sizungumzi wenye matatizo yanayowafanya wasioe au kuolewa nazungumzia watu waliokamilika viungo vyao na akili zao.) Huu ndio ukweli kuanzia kwenye vitabu vya dini zote hadi ktk mamlaka za kiutawala mwenye kuoa au kuolewa ndio wenye kuheshimika na HII SIO KUKARIRI ILA NDIO UKWELI AMBAO WENYE CHOYO,WAFUSKA, NA WENYE TABIA MBAYA ZOTE NDIO UJITETEA KWA MANENO KAMA HAYO
Utakuwa na matatizo! Sio bure wewe!tatizo anataka tuish kama yeye amezoa wote tuolewe
Una enjoy kwa lipi wewe! Stress zitakuua hizo.omba mungu akubariki ubahatike na wewe uingie chamani,jua linakaribia kuzamaWee kila MTU na maisha yake hatuwez kusikiliza wala kufata mitazamo yako wee sio mungu kama upon ndoan na unaona no vyema in wewe acha tuenjoy life tunayopenda maisha hayana formula
Povu la nini mkuu? Mshirikishe mungu na wewe siku moja uvae shela kama madam flora.Pole tena Pole sio kila alieko nyumbani Hujapata mtu sahihi kuelewa ni maamuzi yA mtu na ndoa hailazimishwi usiwadisapoint watu kakua ulikua disappointed pia ungekua sehem nzuri NA yenye Furaha sidhani kama ungekuja *kutukana inaonesha unamachungu wataka kushair Pole maskini WA Mali NA Roho najua utatukana Ila ujumbe umefika
Kweli kabisa.Sahihi kabisa mkuu! Kuna mchangiaji mmoja alitoa hoja ya msingi sana.alisema kama huitaji kuoa au kuolewa ishi kama alivyoishi bwana yesu.sio kujifanya hutaki kuoa au kuolewa kisha unazini
Wewe nae utakua na january za kutosha na hujaolewaMaisha, siyo kuolewa/ ndoa tu kuna mambo mengi zaidi ya hiyo kuoa na kuolewa.
Acha kukariri vitabu na machapisho yaliyojaa porojo.
Any way, her life, its her choice.
Lazima asimangwe manake alilingia vijana wa kweli wenye nia za dhati walijiona muda bado sasa ishakua jioni hatuoi mabibihivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
Wewe nae utakua wale wale na january zenu za kutosha mtaishia kucheza kwaito harusi za wadogo zenuKuolewa au kutoolewa ni majaliwa ya Mungu.
Kuolewa si lazima.