Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,540
- 1,546
HahahahahaWewe nae utakua wale wale na january zenu za kutosha mtaishia kucheza kwaito harusi za wadogo zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaWewe nae utakua wale wale na january zenu za kutosha mtaishia kucheza kwaito harusi za wadogo zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu moja nimekuelewa mkuu! Kwamba angalau umri akifika wa 25 iwe kwa mwanaume au mwanamke,basi awe kwenye uhusiano unaoeleweka,na sio chain ya mabwana au mabibi.Shida kubwa wanawake wanshindwa kutambua Mwanamke wa kuolewa anatengenezwa umri kati ya miaka 22 hadi 25 ambapo mwanaume atamuoa akiwa na miaka 27 hadi 30 lakini umri huo sasa hawa dada zenu ndo muda wa kuvaa viguo vya nusu uchi na kujifunza vitu vya hovyo hovyo na kuwa na mabwana wengi badala ya kujitunza .
Wakija kufika umri wa kuolewa miaka 25 hadi 30 wanakua na matiti kama ndala za umoja uvungu umeharibika haufai nani atakuoa sasa.
MTAISHIA KUCHEZA KWAITO HARUSI ZA WADOGO ZENU MSIPO BADILIKA...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini, siyo kuwa ni lazima.
Ndiyo maana hata wakiwa wanafungishwa ndoa wanaulizwa unakubali kuwa na huyu mke au Mme!?
Na ikitokea mmoja wao akasema hapana basi, hakuna kulazimishwa tena. Kwa hiyo siyo lazima.
Aiseee, huelewi kabisaaa eeeh , utakuwa vyeti feki au incomplete certificates, siyo bure Duuuuuuh!!
Maana , siyo kwa ubishi huu.
Haaaaaaa! eti incomplited certificate.
Kwasababu yule wa kula kwa jasho bado anajipanga. Sasa ulitaka aolewe na nani ikiwa wewe mwanaume bado haujawa tayari kuoa?Kwa mwanamme akichelewa kuoa hasimangwi kwa sababu yeye ndo kichwa cha familia,hawezi kuoa ikiwa hajajipanga hata kulisha familia na kutoa huduma nyingine muhimu za familia.Na pia anaweza akawa hana kazi ya maana itakayoweza kumpa mkate wa kila siku.je wewe mwanamke unasababu gani ya msingi hadi umri huo? Ikiwa maandiko yanasema mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke utazaa kwa uchungu.
Na wewe una siri za mioyo ya wengine!!!!Hahahahaha! Hongera sana mkuu kwa kujifariji.siri unayo moyoni mwako.
Aolewe na waliokuwa tayari wamejipanga!Kwasababu yule wa kula kwa jasho bado anajipanga. Sasa ulitaka aolewe na nani ikiwa wewe mwanaume bado haujawa tayari kuoa?
Umesema wewe!Na wewe una siri za mioyo ya wengine!!!!
Hao walio tayari ni wangapi na wanaoa wangapi? Ndio anakusubiri wewe unayejipanga.Aolewe na waliokuwa tayari wamejipanga!
Asili (nature) inataka mwanamke azae mapema kisha amalize kuzaa kabla ya miaka 40. Akichelewa kuolewa itabidi azae kwa matatizo na mateso kwake. Na akuchelewa zaidi hazai tena. Mwanaume hadi miaka 85 -95 anaweza kumpa mimba mwanamke. Pia huyo Me anaweza kuwa mzee zaidi ya miaka 60 akaowa binti wa miaka 18 lakini KE wa miaka 60 hawezi kuolewa na mvulana wa miaka 18 na wakapata watoto. Mwanamke anachukua umbo la kuzeeka na kupoteza mvuto mapema hivyo kumsababishia Me asiamshe dude na kupiga match.hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
Anasimangwa kichinichini..oooh haamshi dude..mara anaogopa kutongoza..mara ooh hanisi..labda ndo ukute anavimwagia vitumbua mchanga sana ndo atakuwa safe mtaani.hivi kwanimi mwanamke asipoolewa mapema akavuka miaka thelathini...huwa anasimangwa sana na watu hadi jamii anayoishi
lakini
mwanaume akicheleqa kuoa wala hasimangwi..
Mimi wa kwanza nipo tayari! Nilishajipanga kitambo sana,tatizo hao waolewaji wanasema hawahitaji kuolewa kwa sasa kama mtoa sired alivyosema.Hao walio tayari ni wangapi na wanaoa wangapi? Ndio anakusubiri wewe unayejipanga.