[HASHTAG]#MZEETOLA[/HASHTAG],
Her life , its her choice!
Sasa wewe tatizo lako nini!?
Mfano, Binti tangia anazaliwa kwao hajawahi kuchapwa wala kufokewa.
Leo, mwanaume anamwambia huyo Binti. Ze ze time I see you, I love you, you know , ze ze ze love. I have for you , its killing you.
Haaa haaaa teeh teeeh haaa English mbovu kama hiyo hapo, ila linaongea kwa upole na sitaha!
Then, hilo limtu baada ya wiki , moja ama mbili ghafula linaanza kuongea kama Simba anayeunguruma porini, na kujifanya bondia kwa Binti/mwanamke hapo unadhania wanawake wote watapenda kuolewa!?
Any way, kama wewe ni mwanaune, acha unaaa,
Kila mtu aishi maisha yanayompa furaha na siyo kufurahisha vikaragosi wasio kuwa na shukurani maishani .
Baadhi ya wanaume tunajifanya vichwa maji.