Kwa kuwa falsafa ya chama ndiyo msukumo mkubwa wa wanainchi juu ya imani ya mwelekeo wao kutokana na ilani na itikadi ya chama basi wzi falsafa ya chama ndio kituliza roho kikubwa na ni matumaini yanayotukuka kwa wanainchi waliyo na itikadi ya chama fulani
hizi ndizo falsafa za vyama viwili
CCM - "Kidumu chama Cha Mapinduziiiiiiiii"
Vs
CHADEMA - "Peoples Powerrrrrrr"
Falsafa ipi yalea matumaini?
hizi ndizo falsafa za vyama viwili
CCM - "Kidumu chama Cha Mapinduziiiiiiiii"
Vs
CHADEMA - "Peoples Powerrrrrrr"
Falsafa ipi yalea matumaini?