X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Hawa wanasiasa wa Kitanzania wote wapo sawa tu... Waliokuwa chama tawala na walioko nje ya chama tawala lengo lao moja tu... Maneno matamu kuyasikiliza, lakini matendo yao yanatia kinyaa kuyaona.
Nailinganisha Tanzania na mistari hii:
Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.
Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote.
Husema, Njoni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi.
Isaya 56:10-12
Na utafute, kwa aliyo kupa Mwenyezi Mungu, makaazi ya Akhera. Wala usisahau fungu lako la dunia. Nawe fanya wema kama Mwenyezi Mungu alivyo kufanyia wema wewe. Wala usitafute kufanya ufisadi katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi mafisadi.
Q28:77
Wala msitii amri za walio pindukia mipaka, ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
Q 26:151-152
Nailinganisha Tanzania na mistari hii:
Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.
Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote.
Husema, Njoni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi.
Isaya 56:10-12
Na utafute, kwa aliyo kupa Mwenyezi Mungu, makaazi ya Akhera. Wala usisahau fungu lako la dunia. Nawe fanya wema kama Mwenyezi Mungu alivyo kufanyia wema wewe. Wala usitafute kufanya ufisadi katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi mafisadi.
Q28:77
Wala msitii amri za walio pindukia mipaka, ambao wanafanya ufisadi katika nchi, wala hawatengenezi.
Q 26:151-152