Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
Wana falsafa wa zamani walianza falsafa walipomaliza mahitaji ya kimsingi ya chakula na maji na makazi.
Ukiwa na njaa huwezi kuchanganua ni kipengele kipi cha kimetafizikia ndicho kisababishi kikuu na ujuzi wa kuwa na inzi na kuonyesha nini katika epistemolojia au phenomenolojia.
Vile vile pia ni azma inayofanywa na watalii hao walionaswa chini ya bahari. Karibu kila kitu kilichogunduliwa, kilikuja kupitia udadisi. Ikiwa una njaa, hutakuwa na kiwango bora cha udadisi wako.
Hii ndiyo sababu uchunguzi wao hautakuwa na maana kwa Waafrika wengi. Bado tuko kwenye kiwango cha msingi cha mahitaji.
Hata viongozi wetu wa kiafrika bado wanatafuta nyongeza ya mishahara na ziada ya mali.
Sisi tutulie tu bado tuko nyuma sana na hii ndiyo ilifamnya mzungu kujifanya kaichunguza dunia mpaka kudai kuwa ameigundua Afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na njaa huwezi kuchanganua ni kipengele kipi cha kimetafizikia ndicho kisababishi kikuu na ujuzi wa kuwa na inzi na kuonyesha nini katika epistemolojia au phenomenolojia.
Vile vile pia ni azma inayofanywa na watalii hao walionaswa chini ya bahari. Karibu kila kitu kilichogunduliwa, kilikuja kupitia udadisi. Ikiwa una njaa, hutakuwa na kiwango bora cha udadisi wako.
Hii ndiyo sababu uchunguzi wao hautakuwa na maana kwa Waafrika wengi. Bado tuko kwenye kiwango cha msingi cha mahitaji.
Hata viongozi wetu wa kiafrika bado wanatafuta nyongeza ya mishahara na ziada ya mali.
Sisi tutulie tu bado tuko nyuma sana na hii ndiyo ilifamnya mzungu kujifanya kaichunguza dunia mpaka kudai kuwa ameigundua Afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app