hivi ff huwa unatetea nini hasa? Sijawahi kuona umeunga hoja popote hata kama ina mantiki kiasi gani. Najua una akili lakini husomeki hata chembe. Hata mi huwa najiuliza wewe ni wa aina gani
Kweli we kilaza!! na kusifiwa koote hapo juu unaandika upupu kama huu, hivi nikuulize unajua ni kwa nn walimgandisha?! au unaandika kufurahisha akili yako?
POPOBAWA.