Faini

Faini

otimbiotimbi

Senior Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
136
Reaction score
235
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Unaweza ku despute hiyo fain kama unaamini ni makosa yamefanyika.
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Lipa tu hyo fine 30k sio ya kuja jf kama una miliki gari, kuna muda busara itumike hata kama umeonewa.
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Wapuuzi wale wanakosea number ya gari unakuta badala ya kuandika 653 labda wanaandika 953. Mimi ilishawahi kunitokea niliandikiwa fine mbili. Moja ya gari sahihi na nyingine kirikuu ya mtu aliyeko songea
 
Mafundi kuna saa wanajifanya wanatest gari halafu wanaendesha mwendo wa hatari,akipigwa faini hasemi.Hilo nalo ukalitazame
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Walikosea naomba ya gari,ama Kuna gari mamba zinaingiliana Fanya utafiti
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Pole sana kwa hilo tatizo kama upo Dar nenda pale SENTRO POLICE kunakitengo kule upande wa Trafiki watakufutia kihalali bila shida yoyote baada ya kuyaelewa maelekezo yako. Kama upo mikoani nenda kituo kikuu cha trafik cha mkoa wanahicho kitengo cha kusikiliza na kukuhudumia bila shaka. Kwa Dar nilishawahi kushugulikia na ikafutwa.
 
Aisee hivi inakuwaje ama natakiwa kufanyaje gari yangu ina faini na namba ya leseni iliyomo kwenye faini siijui na sijui imekuwaje mpaka leseni namba hiyo ambayo siijui imeandikiwa faini kwenye gari yangu ambayo kimsingi sijawahi kumuazimisha mtu wala huko inakoonyesha gari ilipigwa faini ya spidi mi sijawahi kwenda?

Je nifanyeje?
Nenda ofisi ya traffic, utapata msaada
 
Back
Top Bottom