Kwenye matumizi ya rasilimali tuna tatizo kubwa sana. Ila hao wote kwenye meza za maamuzi ni zao la maandalizi mabaya.
Cha kujihoji ni Kwann watumie mapato ya faini kama chanzo tegemezi cha mapato. Hakuna namna yoyote ya kuwa na chanzo cha pato endelevu kinachosaidia kuchochea jamii timamu bila kutegemea akili za wendawazimu??
Siku wakipona wote, wakaacha kufanya makosa tutatoa wapi mapato?! Na nadhani ni sisi tuu utasikia tunajisifia ulevi wa ndani na uvunjifu wa sheria za barabarani umesaidia kuongeza mapato serikali... Ni kama tunawashukuru kwa kuvunja sheria na kuwa walevi wameokoa uchumi
Fikra zetu inabidi zibadilike...huenda ndio maana tunajikuta tunaendelea kuzalisha wapuuzi wengi ..kwa kutokuzingatia loshe Matokeo yake watoto wanazaliwa na not fully developed brains.
Na wakifika hapa Duniani hasa Tanzania kwa sababu wazazi na kila mtu anayewazunguka naye ubongo haukukua sawasawa wanajikula lishe yao inakuwa ya wanga tuu na matokeo wa mtoto ubongo haupati fursa ya kukua sawasawa...
Mtoto anapofikisha miaka miwili na nusu kwenye ukomo wa ukuaji wa ubongo tayari amedumaa ubongo na mwili na kisayansi ndio tusha seal fate yake hapa Duniani. Atabakia kuwa na akili za kuvukia barabara a kujua pini imemchoma.
Mungu Alirehemu Taifa hili Teule na watu Wake. Amina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.