Pana u umbumbu mkubwa wa alama za barabarani kwa upande wa askari polisi barabarani. Ilikuwa ni vyema serikali ikaliona hili na kulifanyia kazi mapema iwezekanavyo.
Pana yanayoitwa makosa barabarani ambayo yanayotumiwa na polisi kama kisingizio kwa kujua au kutojua. Mwisho wake ukiwa kubambikia watu makosa kiujanja ujanja ili kuwaibia tu. Faini za makosa kama haya kimsingi ni wizi usiokuwa na tofauti na ule wizi wa kutumia nguvu.
Alama za barabarani zimegawanywa katika makundi:
1. Tahadhali
2. Amri
3. Taarifa
Tahadhali zinakuwa ndani ya mabango ya pembetatu. Kundi hili lina lengo la kumtaarifu mtumia barabara kuwa makini na eneo analo pita, hakuna cha zaidi ya hapo.
Alama hizi huwa ziko katika mabango ya pembetatu. Polisi na watumiao barabara wangeelimishwa kuhusiana na hili kuhakikisha haki Ina prevail. Mbivu na mbichi zikafahamika vinginevyo tunakoelekea uvunjifu wa amani utakuwa unatuhusu.
Hivi serikali inajisikia vipi kuwa na polisi wasiotenda haki? Kuwa na polisi wanaotanabaishwa na majambazi?
Alama zinazokuwa enforced na polisi ni za amri pekee ambazo hizi huwa kwenye mabango ya duara.
Polisi kutoza faini ati kuwa kuna alama tu za zebra crossing zisizoambatana na spidi inayoruhusiwa si sahihi. Ikumbukwe kuwa kuna sehemu zenye max speed 50km/h na zebra crossing na zipo zingine kwenye barabara kuu zenye zebra crossing peke yake.
Barabarani kumekaa kama uwanja wa mazoezi kila polisi na lake kinachotakiwa pesa. Chapisheni brosure zenye makosa maonyo, makosa na faini explicitly ili kila mtu azione wazi wazi tuache na ubabaishaji. Vinginevyo kitengo hiki ni shida tu.
Muda muafaka wa kusimama imara kusimamia haki zetu ambazo kwa uzoefu wa njaa za hawa jamaa watabambika kesi hata kwa makosa yasiyokuwapo.
Pana yanayoitwa makosa barabarani ambayo yanayotumiwa na polisi kama kisingizio kwa kujua au kutojua. Mwisho wake ukiwa kubambikia watu makosa kiujanja ujanja ili kuwaibia tu. Faini za makosa kama haya kimsingi ni wizi usiokuwa na tofauti na ule wizi wa kutumia nguvu.
Alama za barabarani zimegawanywa katika makundi:
1. Tahadhali
2. Amri
3. Taarifa
Tahadhali zinakuwa ndani ya mabango ya pembetatu. Kundi hili lina lengo la kumtaarifu mtumia barabara kuwa makini na eneo analo pita, hakuna cha zaidi ya hapo.
Alama hizi huwa ziko katika mabango ya pembetatu. Polisi na watumiao barabara wangeelimishwa kuhusiana na hili kuhakikisha haki Ina prevail. Mbivu na mbichi zikafahamika vinginevyo tunakoelekea uvunjifu wa amani utakuwa unatuhusu.
Hivi serikali inajisikia vipi kuwa na polisi wasiotenda haki? Kuwa na polisi wanaotanabaishwa na majambazi?
Alama zinazokuwa enforced na polisi ni za amri pekee ambazo hizi huwa kwenye mabango ya duara.
Polisi kutoza faini ati kuwa kuna alama tu za zebra crossing zisizoambatana na spidi inayoruhusiwa si sahihi. Ikumbukwe kuwa kuna sehemu zenye max speed 50km/h na zebra crossing na zipo zingine kwenye barabara kuu zenye zebra crossing peke yake.
Barabarani kumekaa kama uwanja wa mazoezi kila polisi na lake kinachotakiwa pesa. Chapisheni brosure zenye makosa maonyo, makosa na faini explicitly ili kila mtu azione wazi wazi tuache na ubabaishaji. Vinginevyo kitengo hiki ni shida tu.
Muda muafaka wa kusimama imara kusimamia haki zetu ambazo kwa uzoefu wa njaa za hawa jamaa watabambika kesi hata kwa makosa yasiyokuwapo.