N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Ili kuondoa mianya ya rushwa, mabishano nakadhalika. Polisi Usalama Barabarani wabaki kukagua mambo mengine, zitegwe speed detectors, ukizidisha mwendo message inakuja tu kwenye simu yako unapambana na hali yako, askari wapungue road wabaki vehicle inspectors tu na wakaguzi wa makosa mengine ambao wanakuwepo kwenye vituo maalumu tu. Hawa wanaohangaika na speed wasiwepo.
Pia, magari mabovu yasiruhusiwe kutembea barabarani.
Twende tukajifunze Rwanda. Ustaarabu, usalama barabarani na usafi wa nchi yetu unaanza na hatua hii. Pia Serikali itaokoa mapato mengi yanayopotelea kwa wazee wa ya kubrashi viatu.
Pia, magari mabovu yasiruhusiwe kutembea barabarani.
Twende tukajifunze Rwanda. Ustaarabu, usalama barabarani na usafi wa nchi yetu unaanza na hatua hii. Pia Serikali itaokoa mapato mengi yanayopotelea kwa wazee wa ya kubrashi viatu.