Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,604
- 188,819
Habari.
Huku tukiendelea kusubiri fainali ya UEFA Champions itakayofanyika May 29 mwaka huu kati ya Chelsea Vs Manchester City.
Kuna mabadiliko ya kiwanja cha mtanange huo itakuwa jiji Porto na si mjini Instanbul tena.
Huku sababu kubwa ya mabadiliko hayo ni maambuzi ya Corona Virus 19 ambayo kwa muda yamekuwa yakiendelea katika miji ya Uturuki.
Hivyo UEFA kutazama tena uwanja huko ureno wa Estadio do Dragao kufanyika fainali za UEFA.
Haya tuendelee kusubiri kandanda la wahasimu hao kutoka uingereza tarehe hiyo usiku.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu
Huku tukiendelea kusubiri fainali ya UEFA Champions itakayofanyika May 29 mwaka huu kati ya Chelsea Vs Manchester City.
Kuna mabadiliko ya kiwanja cha mtanange huo itakuwa jiji Porto na si mjini Instanbul tena.
Huku sababu kubwa ya mabadiliko hayo ni maambuzi ya Corona Virus 19 ambayo kwa muda yamekuwa yakiendelea katika miji ya Uturuki.
Hivyo UEFA kutazama tena uwanja huko ureno wa Estadio do Dragao kufanyika fainali za UEFA.
Haya tuendelee kusubiri kandanda la wahasimu hao kutoka uingereza tarehe hiyo usiku.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu