Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Huyu refarii mbona kama anachezesha chandimu???
 
Sawa, kwa jinsi tulivyo full masinondo na hizo condition ulizoweka basi sitapata uhakika wa ama unatania ama hutanii.

Ndio tuombe pamoja, Mtibwa aondoke na mkewe. Tushamlipia mahali atii.
 
Mtibwa mbona mnawachelewesha hao mikia bana.
 
Mtibwa sugar wana nafasi kubwa ya kushinda hii mechi iwe matatu au ndani ya dakika 90
 
Back
Top Bottom