Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Dakika zinayoyoma kuelekea kwenye matuta,
ha ha ha ha
mikia mnayo leo.
 
Bantu lady dada umenikasirikia bure tu maskini wala sikuwa nazungumzia gender. nilikuwa nafanya utani tu dada yangu wa simba na yanga wala si wa jinsia. mbona kuna watu wanasema simba wataolewa n.k lakini husikii mtu anaenda kusema amedhalilishwa? sorry umenifikiria vibaya dada. wala sikuwa kwenye mambo ya gender mi nakutania kama Yanga kwa kuwa mimi ni Simba sikuwa namaanisha kuwa usishabikie mpira kwa kuwa wewe mwanamke. no please madame i respect kila jinsia. mi nmeongea kiutani tu kukutania
 
Mbona mikia humu imepotea? Bantu lady na Makoye Matale naomba niitie hao watu warudi hapa

Mkuu NGANU kumbe huwajui mikia vizuri? Waoga sana sana. Ila kwenye kuongea ni namba moja, kuna uzi ukiusoma walivyotukandia Yanga, nilihisi kulia.
Sasa hivi wameona mambo magumu, wameingia mitini, wasoma kimyakimya ila.
 
Last edited by a moderator:
Huyo kocha naye vipi angemwacha tu dogo acheze hadi mwisho sijui kwa nini kamwingiza Mapunda.
 
Mtibwaaaaaaaa ahsante kwa kutufikisha kwenye matuta na tunamwaminia, Said Mohamed.
 
Back
Top Bottom