Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Hawa Mtibwa inaonekana wagumu sana, itabidi tutumie silaha zilizoko nje ili tumalize hii kazi kirahisi, wapi Simon Sserunkuma, wapi Shaban Kisiga, wapi Elias Maguri, hizo silaha tatu zinaweza kutufaa kipindi hiki cha pili.
 
unadhan ntataka tufike huko? natoa kishika uchumba kwanza(mimba) then kuanzia hapo wataniozesha tu mjini hapa. hao ng'ombe wote wamesikia ng'ombe wanazaa kama panya? mi ntamweka sawa bint nampa kishika uchumba.then tunaoana kimjin mjin.... halafu nambadilisha team anahamia kwa mnyama mfalme wa mwitu.

Nimeolewa nyumba ntobhu miye, so tulia muone wanaume wa manungu wanavyowafanya leo. Simooooooooo. Case closed...
 
Huku kwa simba muda si mrefu kutatokea jambo tu, acha ninyamaze
 
Hawa Mtibwa inaonekana wagumu sana, itabidi tutumie silaha zilizoko nje ili tumalize hii kazi kirahisi, wapi Simon Sserunkuma, wapi Shaban Kisiga, wapi Elias Maguri, hizo silaha tatu zinaweza kutufaa kipindi hiki cha pili.

Umemsahau Evans Aveva.
 
Ndio Masuke mbona umeshangaa? nimeolewa nyumba ntobhu.
Hiyo haifai kabisa, sasa ikitokea unakabidhiwa kwa yule usiyempenda unafanyaje? kuchepuka si nje nje? Tafadhali naomba useme ulikuwa unatania.
 
Last edited by a moderator:
Mtibwa leteni raha, nitakuwa mshabiki wenu leo mkiwafunga mikia.
 
Hiyo haifai kabisa, sasa ikitokea unakabidhiwa kwa yule usiyempenda unafanyaje? kuchepuka si nje nje? Tafadhali naomba useme ulikuwa unatania.

Nitakujibu kama ni kweli ama natania, endapo tu Mtibwa ikishinda.
 
Back
Top Bottom