Hakuna online redio ipo hewani?
Noted mkuu.Nenda kwenye uzi wa nusu fainali ya Simba.
Mods nibadilishieni ID,weka Okwi Serunkuma
TBC Taifa wako online, hebu sechi kwenye website yao halafu chagua listen TBC Taifa.
acha kupotosha,Yanga sijui mnakuwaje chupi zinawabana kuliko hata mtibwaDakika ya 35 ball possesion 50 - 50
makoye..... hapa ni utani wa jadi so napomtania huyu dada ananielewa. ndo maana naye unamsikia anazungumzia simba kuolewa n.k so napoandika hizi hbr ni kwa kuwa mpira ni furaha na utani wa jadi kama ilivyo simba na yamba na huyu dada ni yanga sana. so mi nataka nitangaze posa kwao.
mkuu nipo hapa kukufanyia UNOKO juu yako pindi yatakapo timia.
Komeo Lachuma tuheshimiane sawa kaka, yaani nimesoma hata siamini ulichoandika.
Acha ufinyu wa kifikra, nani alikwambia mpira ni wa wanaume tu?
Wewe si mwanamichezo nakwambia na wala si mpenda mpira, ungekuwa hivyo ungekuwa unatuona uwanjani.
Huwa tunakuwa wengi, na pia ungeona kwenye world cup jinsi wanawake walivyojaa.
Pole sana utakereka sana maana napenda mpira sana, na naipenda Yanga na Chelsea bila kusahau L.A Lakers. So tegemea kuniona humu halafu ushike adabu yako.
nipo mtibwa kwa mkopo
ya ngoswe mwachie ngosweMachungu ya Mtani Jembe yalishapozwa na Kagera Sugar.
matokeo tafadhali