Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Umesahau chuchu konzi mkuu
Cheka fasta maana saa ya kununa imewadia.
Umesahau chuchu konzi mkuu
Umelenga haswa Mkuu! Kwa jinsi nisivyoipenda Azam, ningeshangilia Mikia japo ni kwa siri sana kwa hofu ya 'wayahudi'. Simba siichukii bali ni watani wetu, kikwetu tunawaita 'Bhaphughu'.Azam naichukia absolutely, hata chapati huwa sili, juice sinywi, Azam TV siangalii na bidhaa zake zote situmii. Sasa hivi nina changamoto moja tu: sehemu ya kodi anayolipa SSB naipokea kama mshahara, natafuta ufumbuzi nitambue ni kiasi gani ili nisiwe naichukua hiyo pesa, itasaidia watoto yatima. Ni hayo tu Mkuu wangu.
Kila la heri Mtibwa Sugar a.k.a Libolo FC la Bongo.
Duh kweli changamoto, nilitaka tu nijue maana ni kweli washabiki wengi wa Yanga hawaipendi Azam hasa pale ilipochukua wachezaji wao wakati bado wanawahitaji ndo chuki iliongezeka hasa.
Umelenga haswa Mkuu! Kwa jinsi nisivyoipenda Azam, ningeshangilia Mikia japo ni kwa siri sana kwa hofu ya 'wayahudi'. Simba siichukii bali ni watani wetu, kikwetu tunawaita 'Bhaphughu'.Azam naichukia absolutely, hata chapati huwa sili, juice sinywi, Azam TV siangalii na bidhaa zake zote situmii. Sasa hivi nina changamoto moja tu: sehemu ya kodi anayolipa SSB naipokea kama mshahara, natafuta ufumbuzi nitambue ni kiasi gani ili nisiwe naichukua hiyo pesa, itasaidia watoto yatima. Ni hayo tu Mkuu wangu.
Kila la heri Mtibwa Sugar a.k.a Libolo FC la Bongo.
Cheka fasta maana saa ya kununa imewadia.
Dah, Makoye Matale una maneno sana
Wewe hapa shangwe mwanzo mwisho
Ibrahim Ajib anakosa goli hapa
Umesoma ile post ya Mtibwa kama Masala Kulangwa?
Sijaiona iko page gani hiyo?
Mtibwa wanatafuta jambo langoni kwa simba
dk ya 10 bado mtibwa 0-0 simba, kila la kheir mtibwa suger