Jamani nina hali mbaya. Sipendi wakati kama huu. Mungu tusaidie tu.
Nyekundu ........!!!
Azam na Yanga zenye mapro kutoka Brazil na West Africa lakini zilitolewa na timu zenye watanzania watupu sembuse sisi mapro wetu wanatoka hapa hapa East Africa.
Simba haoooo wamechezewa penalty na goal kipa wa mtibwa..hahaha
Said mohamed ndo chaguo letu leo.
Nipo mkuu Mtoto halali na hela kheri ya mwaka mpya. Siku nyingi kaka yangu.
umeamuka eh?Mikoa mukuje hapaaaaaa
nawe pia Bantu lady nimeona ID yako ikabidi niku quote