Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,886
Hello JF
Sijui kwanini media za kenya kwa sasa zinaeneza propaganda zenye lengo la kutugawa wa africa.
1. Wanalalamikia kuhusu eti nchi za ECOWAS zimefanya njama. Wakati ECOWAS ipo na nchi 15 tu.
Vilevile nchi za SADC zipo 15 tu, IGAD zipo 8
Member States | Economic Community of West African States(ECOWAS)
Kwanini wanataka kuleta masuala yao kwenye umoja wetu wa Africa. Nimekuwa nikisikiliza mahojiano mbalimbali yamenishangaza sana kwa hawa wenzetu, wamekuwa wakitupia lawama kwa watu wengine kana kwamba ilikuwa lazima washinde.
Sijui kwanini media za kenya kwa sasa zinaeneza propaganda zenye lengo la kutugawa wa africa.
1. Wanalalamikia kuhusu eti nchi za ECOWAS zimefanya njama. Wakati ECOWAS ipo na nchi 15 tu.
Vilevile nchi za SADC zipo 15 tu, IGAD zipo 8
Member States | Economic Community of West African States(ECOWAS)
Kwanini wanataka kuleta masuala yao kwenye umoja wetu wa Africa. Nimekuwa nikisikiliza mahojiano mbalimbali yamenishangaza sana kwa hawa wenzetu, wamekuwa wakitupia lawama kwa watu wengine kana kwamba ilikuwa lazima washinde.