NOT ENOUGH KWELI KNOWLEDGE IS POWER ,,, But hatujifunzi hivyo... kwa siku utume thread mbili zote zinahusu sex, huo mda wa kujifunza hayo unayotaka kujua unauendesha vipi... au ukituma thread huna haja na majibu... Personally nikiona hivi naacha kukuchulia serious na kuaanza kuruka thread zako...