sheby dunia
Member
- Jul 12, 2018
- 78
- 82
Naomba kujua wanna tech na wachumi, hivi Kuna masilahi gani Serikali inapata raia wake tunapotumia vpn au tunaiga tu.
Mna all adult sites blocked afu imekua kero kuwasha vpn, kuna muda ina disconnect yan ni usumbufu kwa hili nilikua nataka nifahamu Kuna faida yoyote wanapata tunapotumia vpn?
Na wajue kwamba kama hakuna faida basi wananufaisha watu pakubwa mna hizi company za vpn ziko zinapiga pesa nying mno.
Mna all adult sites blocked afu imekua kero kuwasha vpn, kuna muda ina disconnect yan ni usumbufu kwa hili nilikua nataka nifahamu Kuna faida yoyote wanapata tunapotumia vpn?
Na wajue kwamba kama hakuna faida basi wananufaisha watu pakubwa mna hizi company za vpn ziko zinapiga pesa nying mno.