Faida za mbegu za kiume kwako ewe mwanamke

Faida za mbegu za kiume kwako ewe mwanamke

hahahahahahahahaaaa... faida zingine bhana!! eti humsaidia kuwa na sauti nzuri
 
Je ni vipi hiyo protini ya shahawa itafonzwa kutoka kwenye uke iende kwenye damu ili ikatengeneze shepu? Inajulikana kuwa aside za amino hufonzwa kwenye utumbo mwembamba. Je shahawa zinapita wapi kwenda kwenye mifupa na uti wa mgongo zikitokea kwenye uke? Mtoa mada nisaidie maana najiandaa na mtihani wa darasa la saba na huu uzi umekuja wakati muafaka.
 
Back
Top Bottom