Faida za mbegu za kiume kwako ewe mwanamke

Faida za mbegu za kiume kwako ewe mwanamke

Mimi nikijamiiana n mwenza wangu wote tunafurahia tendo lkn cha ajabu yote mliyoongea hapo juu cjaona ht kimoja kw mwenza wangu badala yake kila nikijamiiana na mwenza wangu namuona anadhohofu mwili badala ya kurutubika tatizo ni nini? naombeni jibu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Shahawa zako ni sumu kwa mustakabali Wa rutuba ya afya yake .
 
Kwa hiyo unamaanisha shahawa ni chakula kizuri kwa wanawake.?
 
Je ni vipi hiyo protini ya shahawa itafonzwa kutoka kwenye uke iende kwenye damu ili ikatengeneze shepu? Inajulikana kuwa aside za amino hufonzwa kwenye utumbo mwembamba. Je shahawa zinapita wapi kwenda kwenye mifupa na uti wa mgongo zikitokea kwenye uke? Mtoa mada nisaidie maana najiandaa na mtihani wa darasa la saba na huu uzi umekuja wakati muafaka.
Umeuliza swali zuri mkuu kwamba (manii zinaingiaje kwenye mfumo wa damu wa mwanamke)
labda tuanzie hapa:

Unaifahamu vizuri logic ya "kubemenda?" au
Unajua ni kwann hutakiwi kusex (kavu) na mwanamke anayenyonyesha?
 
Hapa Okwi, kule Ajibu... Kulia Juma Abdul, Kushoto Tshabalala, katika Tshimbimbi na Mzamiru hahahaah hatoki mtu apo[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kazi kwenu wale wa ilani "baby kojoa nje"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama papuchi nayo ipo kwenye digestive system hapo sawa..unless otherwise nikuchafuana tu.. Kumwachia mwenzio mzigo wa mbegu tu
Bila shaka wewe uko digestive kwahiyo si uchafu kwako!
Nimelipenda jina lako
 
Mimi nikijamiiana n mwenza wangu wote tunafurahia tendo lkn cha ajabu yote mliyoongea hapo juu cjaona ht kimoja kw mwenza wangu badala yake kila nikijamiiana na mwenza wangu namuona anadhohofu mwili badala ya kurutubika tatizo ni nini? naombeni jibu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Shahawa zako hazina protini yakutosha hivo sio rahisi kuweza kuona mabadiliko.
 
FAIDA YA WANAWAKE KUKOJOLEWA NDANI SHAHAWA

(1) Humtengeza mwanamke shepu yake. Shahawa zinapozunguka katika mwili huwa na virutubisho vingi vya protini.

(2) Humsaidia mwanamke kutengeneza ngozi yake kwa virutubisho vya shahawa na sio kupaka usoni.

(3) Humuongezea mwanamke urembo zaidi hasa wa macho. Macho yanakuwa meupe na mazuri zaidi.

(4) Husaidia mwanamke kuwa na sauti nzuri zaidi kwa kuwa shahawa hutengeneza ala nzuri za sauti katika mfumo wa sauti.

(5) Husaidia mwanamke kuwa na akili nyingi zaidi katika mfumo wa fahamu. Shahawa hukimbilia katika muundi wa mgongo na kumfanya mwanamke kuwa na mgongo na mifupa imara na milaini.

(6) Humfanya mwanamke kutokuwa na tatizo la kupoteza fahamu na maradhi ya kuchekacheka.

(7) Husaidia kizazi cha mwanamke kisiwe na maumivu ya mara kwa mara, hasa kinapoingia baridi.

NB: Kwa wanandoa tuu. Mnaogopa ndoa endeleeni kusubiri

cc:Catherine gal
Shahawa zikishatolewa kwenda kwenye mfuko wa uzazi hubakia kuwa uchafu na hutolewa Kama uchafu kupitia njia ya uke.Mabadiliko yanayotokea ya kimaumbile ,sauti na mengineyo hutokana na hormones kama oestradiol ,hivyo mbegu zamwanaume hazina uhisiano kabsa na mabadiliko ya maumbile na muonekano kwa wanawake.
 
Shahawa zikishatolewa kwenda kwenye mfuko wa uzazi hubakia kuwa uchafu na hutolewa Kama uchafu kupitia njia ya uke.Mabadiliko yanayotokea ya kimaumbile ,sauti na mengineyo hutokana na hormones kama oestradiol ,hivyo mbegu zamwanaume hazina uhisiano kabsa na mabadiliko ya maumbile na muonekano kwa wanawake.
Kama povu vile
 
Mbona ma CD wa uwanja wa fisi ni wabaya kupindukia. Na wale wa kinondoni makaburini. Wabayaaaa....
 
Back
Top Bottom