Faida za kutoka nje ya ndoa

Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha

moto wa milele.
 
1. Faida: Utakuwa umejikatia tiketi ya bei chee kwenda motoni kwani Mungu hataki hiyo.
2. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe kuwa ni mbinafsi, mzandiki, mfinyu wa fikra na etc.
3. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe ndani ya roho yako kuwa huna upendo wa kweli kwa mwenza na mapenzi yako ni feki.
4. Faida: Utakuwa umejihakikishia kuwa mtumwa wa kudumu wa shetani.
5. Faida: Utakuwa umehakikisha kuwa umeshindwa mtihani wa majaribu ambao ulikuwa unajua kuwa utashindwa.
6. Faida: Utasifiwa sana na Changudoa au nyumba ndogo kuwa una mapenzi na atasema wewe ni namba moja katika mapenzi kumbuka sifa zitazidi kadri utavyokuwa unatoa hela nyingi.


1. Hasara: Utamletea magonjwa mwenza ambaye labda hana makosa yeyote.
2. Hasara: Matendo yako machafu yatakusuta milele ndani ya roho yako.
3. Hasara: Siri zako ndani mfano kukoroma au kufanya majambo ya ajabu wakati wa kufanya mapenzi zitajulikana na wengi.
4. Hasara: Utakuwa umewekeza katika ujenzi wa nyumba au maisha ya changudoa au nyumba ndogo ambayo hutaweza kuambulia hata senti tano.
5. Hasara: Kwa sababu hela nyingi zitaenda kwa changudoa au nyumba ndogo.. Familia yako inaweza kuyumba na kuangaika hadi watoto wakashindwa kwenda shule. Lakini usijali sio issue sana kwani wakati huo utakuwa hujali cha familia wala watoto.

NB: Soma vizuri hizo faida na uamue mwenyewe kama ziendelee kukaa hapo au ziamie chini kwenye hasara..

Unajua maana ya neno faida?
 
Naamini kila jambo lina faida na hasara zake. Lakini je kutoka nje ya ndoa kuna faida zipi hasa? Na hasara zake ni zipi? Pekee ninalolijua miye kwa personal experience, inasaidia sana kumheshimu mume/mke wako baada ya kukutana na matakataka mengi huko nje!
Nawasilisha
.

Sikubaliano na hapo kwenye red. mke akitoka nje akakuta jamaa anasugua kama ana pepo vile, unafikiri atakuheshimu wewe unayesugua kizee? Au mmeo akitoka nje akakutana na mwanamke anayejua kuzungusha na kukamua kisawasawa, si atakuona wewe takataka. Hii ishu msichukulie kishabiki ongeleeni ukweli wa mambo.

Faida yake. Mwanaume, Ukitoka nje ukakuta kitu mwaaaa, utamnunulia nyumba.
Hasara yake. Utamuacha mkeo
 
Unajua maana ya neno faida?

Faida maana yake ni Hasara uliyoamua kuhalalisha kwa manufaa yako binafsi. Kama vile kuwanyonya walalahoi kwa kuongeza bei zaidi ya manunuzi. Daladala wanapoamua kupandisha nauli jioni bila sababu za msingi.. Pia mdau wa hapo juu aliyeamua kuuliza swali ambalo anajua 110% unapata hasara..basi kumsadia tumempa baadhi ya hasara ambazo anaweza kuziona faida kwa upande mwingine.. lakini hasara itabaki hasara!
 
Ndio maana unashauriwa umalize kila kitu kabla ya kuingia kwenye ndoa!
Test kila aina!! Ukishaingia nunakuwa huna ulichokiacha nyuma!
Je kwa wale waliokuwa mageti makali mpaka wanoa ama kuolewa huo uzoefu wataupata wapi?
 
1. Faida: Utakuwa umejikatia tiketi ya bei chee kwenda motoni kwani Mungu hataki hiyo.<br />
2. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe kuwa ni mbinafsi, mzandiki, mfinyu wa fikra na etc.<br />
3. Faida: Utaweza kujithibitishia wewe mwenyewe ndani ya roho yako kuwa huna upendo wa kweli kwa mwenza na mapenzi yako ni feki.<br />
4. Faida: Utakuwa umejihakikishia kuwa mtumwa wa kudumu wa shetani.<br />
5. Faida: Utakuwa umehakikisha kuwa umeshindwa mtihani wa majaribu ambao ulikuwa unajua kuwa utashindwa.<br />
6. Faida: Utasifiwa sana na Changudoa au nyumba ndogo kuwa una mapenzi na atasema wewe ni namba moja katika mapenzi kumbuka sifa zitazidi kadri utavyokuwa unatoa hela nyingi. <br />
<br />
<br />
1. Hasara: Utamletea magonjwa mwenza ambaye labda hana makosa yeyote.<br />
2. Hasara: Matendo yako machafu yatakusuta milele ndani ya roho yako.<br />
3. Hasara: Siri zako ndani mfano kukoroma au kufanya majambo ya ajabu wakati wa kufanya mapenzi zitajulikana na wengi.<br />
4. Hasara: Utakuwa umewekeza katika ujenzi wa nyumba au maisha ya changudoa au nyumba ndogo ambayo hutaweza kuambulia hata senti tano.<br />
5. Hasara: Kwa sababu hela nyingi zitaenda kwa changudoa au nyumba ndogo.. Familia yako inaweza kuyumba na kuangaika hadi watoto wakashindwa kwenda shule. Lakini usijali sio issue sana kwani wakati huo utakuwa hujali cha familia wala watoto.<br />
<br />
NB: Soma vizuri hizo faida na uamue mwenyewe kama ziendelee kukaa hapo au ziamie chini kwenye hasara..
<br />
<br />Mkuu! Naunga hoja yako mkono kwa 100%.
 
Hivi, NDANI ya ndoa ni wapi? Na, ndani ya NDOA ni wapi?
<br />
<br />
ndani ya NDOA ni kule kuiheshimu ndoa yako na kumfanya ulienae kuwa kama wewe, humsaliti, etc
Lakini NDANI ya ndoa ni kuitwa mwenye ndoa lakini huijali ndoa yako, we unakuwa msaliti na mengineyo.
 
Nje .........ndaNI.....................NJE NDANI!

Utu wako unapotea, kama mwenzi ni mwema! Utu wako uanrudi kama mwenzi wako ndio waleeeeeeeeeeee!
 
Aliyetoa hii thread tufanye mpango tumemegee mkewe/ mmewe ili akirudi aweze kumheshimu. teh teh teh
 
ukimwi upo tutwazika kama tamaa hamzishindi hakuna faida bali ni hasara kwa kwenda mbele rizikeni na mlicho nacho utatamani leo ukishakutananaye uanaona nia afadhali yule huwezi tulia angalie wanaofanya hivyo hawatulii na mmoja
 
Lizzy una mtazamo wa kidumedume! Au ulishachoshwa na maswala ya mahuiano nini?
 
Back
Top Bottom