Faida za kupiga CHABO

Faida za kupiga CHABO

Naibili

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,878
Reaction score
1,060
Wana MMU heshima kwenu
binafsi ningependa kujua ivi chabo ina faida gani?
kwa wasio elewa ni nini maana ya chabo, ni "kile kitendo cha kuchungulia watu wakiwa faragha."
watu ambao inasemekana wanaongoza kwa kupiga chabo ni wafanyakazi wa guest na mabeki 3

1. unajifunza vitu vipya
2. chabo ni starehe kama zilivo starehe zingine
3. unaona makosa yalipo unajua jinsi ya kuyarekebisha hivo unaongeza ujuzi n. n.k

4. unajifunza kwani mtu anamg'ang'aniwa kama LUBA kumbe ni mauno
5. kwanini watu wanazama Chumvini
6. Ice cream Corn
7. Manjonjo ya nyumba ndogo (kulia km kinanda)
8. Style
 
Heading yako inachanga, yaani utafikiri umeshuka nondo kumbe unauliza!!

Hivi unaonaje kama unamwangalia mwenzako anakula chakula kizuri halafu na wewe una njaa na unakipenda chakula hicho?
 
1. unajifunza vitu vipya
2. chabo ni starehe kama zilivo starehe zingine
3. unaona makosa yalipo unajua jinsi ya kuyarekebisha hivo unaongeza ujuzi n. n.k
 
Mi najua hasara tu za chabo,macho huaribika maana unakodoa sana
 
Mkuu, umenipunguzia majonzi ya kufungwa arsenal, nimecheka kinoma comment yako.

Kumbe tuko pamoja arsenal mkuu,yaani hii timu inalimbwata kali sana,tunapigwa kila uchwao lakini kuhama imekuwa ngumu :shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:mwee
 
Ni sawa na kula ugali kwa picha ya samaki..

So huingii gharama..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
chabo husaidia misuli ya macho kukaza...na kuwezesha macho kuwa sharp....... Ukipiga chabo mara kwa mara hutohitaji mawani maishani mwako

Nakumbuka ilikuwa usiku, watu wanafanya mambo guest flan jamaa yangu akawa anachungulia,akanogewa akaganda kabisa pale mara akapiga kelele ayaaahh wamezima taa! Afta minutes chache nkashangaa kumuona jamaa anavuja damu usoni kumcheck fresh kumbe alipigwa spoke ya jicho! Na hyo ndo ikawa FAIDA ya chabo!
 
Heading yako inachanga, yaani utafikiri umeshuka nondo kumbe unauliza!!

Hivi unaonaje kama unamwangalia mwenzako anakula chakula kizuri halafu na wewe una njaa na unakipenda chakula hicho?

hahaha umenifurahisha balaa,
nikazani na wewe unashuka point...
 
1. unajifunza vitu vipya
2. chabo ni starehe kama zilivo starehe zingine
3. unaona makosa yalipo unajua jinsi ya kuyarekebisha hivo unaongeza ujuzi n. n.k

huko si kujiongezea matatizo! zile video mnaangaliaga mmejifunza nini?
 
wanatafuta stimu, zikipanda wanaenda kucheza mechi zao.

hiyo mashine itakuwa mbovu, mpaka ukapate stimu kwa jirani? sasa ukifika mtulinga si utakuwa umeisha nguvu, maana umesimama mpaka ukashuka
 
Back
Top Bottom