Faida za kupiga CHABO

Faida za kupiga CHABO

By Naibili<br />
Wana MMU heshima kwenu<br />
binafsi ningependa kujua ivi chabo ina faida gani?<br />
kwa wasio elewa ni nini maana ya chabo, ni &quot;kile kitendo cha kuchungulia watu wakiwa faragha.&quot;<br />
watu ambao inasemekana wanaongoza kwa kupiga chabo ni wafanyakazi wa guest na mabeki 3
<br />
Mkuu ya nini kupata shida, jaribu siku moja utaona faida zake maana ni nyingi mno kuliko ukubwa wa ukurasa huu.
mkuu unahakika gani sijawahi
 
mavazi si utafua tu. Kuna ajali za kupiga chabo, nakumbuka niko na waskaji kadhaa, tunapita short-cut pembeni ya guest house, taa inawaka ndani, pazia limeacha upenyo tukashawishika kuchungulia japo kidogo, tukakuta mama wa mshkaji mmoja tuliokuwa nae yuko ndani na mshkaji wetu mwingine. Just imagine mtu anamuona class mate wake yuko na mama yake mzazi chumbani.

tupe uhondo ni nini kulifuata!!!!
 
mavazi si utafua tu. Kuna ajali za kupiga chabo, nakumbuka niko na waskaji kadhaa, tunapita short-cut pembeni ya guest house, taa inawaka ndani, pazia limeacha upenyo tukashawishika kuchungulia japo kidogo, tukakuta mama wa mshkaji mmoja tuliokuwa nae yuko ndani na mshkaji wetu mwingine. Just imagine mtu anamuona class mate wake yuko na mama yake mzazi chumbani.
mngeingia kwenda kumchukua na bakora juu.
 
tupe uhondo ni nini kulifuata!!!!
Mshkaji wetu mpaka leo bado hajasahau, anajisikia mnyonge mno, lakini hawezi kufanya chochote. Baba yake alimuachaga mama yake kitambo na yeye alikuwa anaishi na mama yake, na mama alikuwa anamuhubiria mwanae kuwa baba yake alikuwa mkorofi ndio maana wakaachana. Baada ya huo mkasa jamaa akawa mtu wa kutafakari na kuwaza mno, haswa ukizingatia baba yake hajawahi kumueleza ni kwa nini aliachana na mama yake.
 
mngeingia kwenda kumchukua na bakora juu.
Mtamchapabakora mtu ambaye mnamuamkia shikamoo kwa adabu kila siku. Kwa vile yeye hakutuona ilibidi tuendelee kujifanya kama hatujui chochote kuhusu yeye.
 
Wana MMU heshima kwenu
binafsi ningependa kujua ivi chabo ina faida gani?
kwa wasio elewa ni nini maana ya chabo, ni "kile kitendo cha kuchungulia watu wakiwa faragha."
watu ambao inasemekana wanaongoza kwa kupiga chabo ni wafanyakazi wa guest na mabeki 3

Ni kama kuangalia pornographic movie... the only different, anayekula "deo" anacheki mambo "live" bila chenga wakati anayecheki movie, argggh!
 
Ni kama kuangalia pornographic movie... the only different, anayekula "deo" anacheki mambo "live" bila chenga wakati anayecheki movie, argggh!

kuna faida gani ya kumla deo mwenzio?
 
Chabo mbaya sana, JE UKIMKUTA DADAYAKO AU MKEO ANATO utafanyaje?
 
Inadhalilisha utu wa mhusika na kuondoa privacy za wengine.
 
[QUOT kule unguja ukikutwa unakula chabo kipigo ni kama mwizi


E=Naibili;5830964]hivi kama ni mdada, jamaa akikukuta umemaliza kupiga chabo si anashika mkono tu? maana mihemko itakuwa mahala pake[/QUOTE]
 
kuna starehe gani? wakati mpiga chabo ana wasi wasi utafikiri anaoga nje

huwezi kuijua starehe ya chabo kama hujapiga asee....!!!!!!
kupiga chabo ni raha jamani ni raha yani raha sana.
 
huwezi kuijua starehe ya chabo kama hujapiga asee....!!!!!!
kupiga chabo ni raha jamani ni raha yani raha sana.

Halafu Evelyn unajua mimi sikuelewi, yaani penye kadhia upo, penye utani upo labda umeamua kuonekana hivyo ili kuficha uhalisia wako.
 
Back
Top Bottom