Faida za kuoa mke "kicheche"

Faida za kuoa mke "kicheche"

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,112
Utangulizi.
Hakunaga mwanamke kicheche ambaye siyo mzuri wa umbo, sura na rangi. Ni sifa hizo tatu ndiyo humpa nafasi na fursa ya kuwa kicheche, kwa kuwa anatakwa na kila mwanaume.

Faida za mke kicheche.
1. Anakupa tulizo la moyo hata kwa kumuangalia tu umbo lake na sura yake. Muda wote unatamani uwe nyumbani ama urudi nyumbani mapema ukamtazame.
2. Anakupa burudani 100% ukiwa naye kwenye 6 kwa 6.
3. Anakuongezea kujiamini na kujiona wewe ndiye kidume hasa kwa kumiliki pisi Kali kiasi hicho. Hata kama hakupi unyumba, majirani wanakuona wewe ni kidume kweli kweli.


N.B. Wife materials ni kinyume chake.
 
Naunga mkono hoja, badala ya kuwaza kila siku utapata lini gono, kicheche anatimiza hitaji lako mara moja.
 
Sahihi kwanini kiwe chapeke ako, ubinafsi umekataliwa katika iman
 
Mwandishi inaonekana bado unaishi kwa shemeji na Dada yako; hujafika umri wa utu Uzima kuanzisha mjadala juu ya masuala ya ndoa
 
Utangulizi.
Hakunaga mwanamke kicheche ambaye siyo mzuri wa umbo, sura na rangi. Ni sifa hizo tatu ndiyo humpa nafasi na fursa ya kuwa kicheche, kwa kuwa anatakwa na kila mwanaume.

Faida za mke kicheche.
1. Anakupa tulizo la moyo hata kwa kumuangalia tu umbo lake na sura yake. Muda wote unatamani uwe nyumbani ama urudi nyumbani mapema ukamtazame.
2. Anakupa burudani 100% ukiwa naye kwenye 6 kwa 6.
3. Anakuongezea kujiamini na kujiona wewe ndiye kidume hasa kwa kumiliki pisi Kali kiasi hicho. Hata kama hakupi unyumba, majirani wanakuona wewe ni kidume kweli kweli.


N.B. Wife materials ni kinyume chake.
Kaulize wazee wako nini maana ya ndoa, seems ww una describe kitu kingine kabisa
 
Mwandishi inaonekana bado unaishi kwa shemeji na Dada yako; hujafika umri wa utu Uzima kuanzisha mjadala juu ya masuala ya ndoa
Lengo la ndoa ni kukufanya uwe "at home" lkn walio na wife material wako kwenye "house" tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom