Naona umezungumzia faida tuu, ngoja tuangalie na hasara zake.
HASARA:
*Ikitokea janga la moto majirani wote wataona uchi wako
*Na ukivamiwa na majambazi hata kama walikuja kwa nia ya kuiba tuu alafu wakakuona uko uchi lazma wabadili gia angani na kukupanda
Kwa kweli hata mimi huwa napenda kulala uchi kabisaa, hata chupi ni mwiko. Jamani mwili nao unahitaji hewa. Kutwa kucha umeufunika na nguo na chupi hata usiku? Nahisi hata kiafya huruhusiwi kulala na nguo inayokubana. Ni kosa kubwa.
hii mada imenivutaayaaaaaah! why comment yako imekuwa ya kwanza?
hii mada imenivuta
pole aiseeenipo klass nakula pindi afu nimevaa suruali ya kitambaa, sio jeans!
pole aiseee
sijablock bara bara mbona pako wazi aiseeemiss nataka nikuone kwa Prime Minister ila ume-bolck barabara, muhimu plz
sio kweli , hakikishasijablock bara bara mbona pako wazi aiseee
Mi sijawahi kuona wala kuota lolote kati ya hayo uliyosema hivyo nashindwa kujua umeyapata wapi (speaking from experence)Kwa mwanamke kulala Uchi wa mnyama, ni Hatari kwa afya yake kwenye Ulimwengu wa Roho. Inasadikika kuwa asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wanao lala Uchi, licha ya kuingiliwa na Majini Mahaba, pia ndio Muda pekee Spiritual Husbands hupata nafasi ya kuwasawili Maumbile yao na wakigundua kuwa wanavutiwa kimaumbile, basi hawa spiritual Husbands huamua kufanya Makazi ya kudumu kwenye Mwili wako wewe dada unayependelea kulala Uchi wa mnyama kwa kisingizio cha Joto or something else.
Mara baada ya Huyu spiritual Husband kuhamia na kufanya Makazi kwenye Mwili wako, hutoka na kwenda kuwasimulia wenzake. Kinachofutia. Hukaribishana na kuanza kukuzalisha Spiritual Kids(Yaani ww unafanyikia kama kiwanda cha kuwazalia wao Watoto)
Ndio maaana Baadhi ya wanawake usiku huota wakiwanyonyesha watoto usiku, huku kiuhalisia akiwa Hana hata Mtoto.
Yako Mengi ya kuyaelezea hapa. Ila ngoja Mshaja JR naye aje atoe somo kuhusiana na hiki nlichokieongea hapa.
basi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi
ingekuwa burudaniHata mimi, sipati picha ungekuwa mke wangu halafu tunaishi maeneo ya baridi ingekuwaje.
Ukifanikiwa mkuu usikose kutupia kapichanijege tulale wote
kapicha kako au? maana hiyo comment nilikuwa nimeku-quote wewe sijui imekuwaje ikaja peke yakeUkifanikiwa mkuu usikose kutupia kapichaitumike barabara