Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,697
- 172,654
Hahahhahah huyu jamaa atakuwa amateur kwenye game ya ndoa!Umeoa? Kama umeoa shukuru hujakutana na changamoto bado ,,, lakini jua ipo siku utakuja na uzi wa kuukana huu uzi wako wa leo....
Ni kawaida yao kutuona ma Legend kama tunafeli sana kuwa na kazi za nje😅 ila moto ukiwawakia wanaungaga mkono juhudi!