Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
( FAIDA ZA
KUFANYA MAPENZI ) 1. Mwili
kukingwa na kupata mafua ya
marakwa mara kwasababu ya kinga
mwili inayopambana na maambukizi
itwayo imunoglobini A 2. Wanawake
hupata mzunguko wa hedhi
usiyobadilika badilika kwasababu ya
kupata homoni maalumu za
mwanaume zittwazo filemoni. 3.
Mwili kuwa imara kupambana na
msongo wa mawazo. 4. Kushusha
mapigo ya moyo yaliyo juu, hii
hukufanya ujiepushe na kupata
magonjwa ya moyo. 5. Kuondoa
mafuta yenye madhara mwilini na
kutengeneza mafuta yenye manufaa
mwilini. 6. Kuteneneza muonekano
mzuri wa misuli ya mapajani
namwili kwa ujumla. 7. Kuongeza
homoni ya kike itwayo istrojeni, hii
humfanya mwanamke kuwa
mrembo. 8. Huongeza uwezo wa
kutunza kumbukumbu kwenye
ubongo, kwasababu ya mzungumko
mzuri wa damu wakati wa kufanya
mapenzi 9. Huongeza morali ya kazi
na kufanya kujisikia vizuri
kimawazo.
@lara1 Bujibuji MziziMkavu ladydoctor Bishanga evensalt Mwamviga
KUFANYA MAPENZI ) 1. Mwili
kukingwa na kupata mafua ya
marakwa mara kwasababu ya kinga
mwili inayopambana na maambukizi
itwayo imunoglobini A 2. Wanawake
hupata mzunguko wa hedhi
usiyobadilika badilika kwasababu ya
kupata homoni maalumu za
mwanaume zittwazo filemoni. 3.
Mwili kuwa imara kupambana na
msongo wa mawazo. 4. Kushusha
mapigo ya moyo yaliyo juu, hii
hukufanya ujiepushe na kupata
magonjwa ya moyo. 5. Kuondoa
mafuta yenye madhara mwilini na
kutengeneza mafuta yenye manufaa
mwilini. 6. Kuteneneza muonekano
mzuri wa misuli ya mapajani
namwili kwa ujumla. 7. Kuongeza
homoni ya kike itwayo istrojeni, hii
humfanya mwanamke kuwa
mrembo. 8. Huongeza uwezo wa
kutunza kumbukumbu kwenye
ubongo, kwasababu ya mzungumko
mzuri wa damu wakati wa kufanya
mapenzi 9. Huongeza morali ya kazi
na kufanya kujisikia vizuri
kimawazo.
@lara1 Bujibuji MziziMkavu ladydoctor Bishanga evensalt Mwamviga
Last edited by a moderator: