Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Jamani nimeona niweke hapa jukwaa la malavidavi maana inanisumbua sana hii kitu, kuna jamaa angu, ameoa na watoto na mke wake ni mzuri tu, huyu bwana anawajua wanawake wote maumbile yao maana ni mchunguliaji mtaalamu sana, najiuliza anapata faida gani huyu jamaa? Kwani hatosheki na mke wake? Nilimuuliza akaniambia we acha tu, ni ugonjwa ndugu yangu, siwezi acha...Jamani je nani amewahi sikia huu ugonjwa?