Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Bisibisi kwani anakuja kukubaka? yeye hana nia ya kubaka ni fahari ya macho tu, sasa bisibisi utamchoma wapi wakati anakula mingo? Jamaa huenda ana darubini kali so from far anakula deo tu...haya mpe adress uone kazi yake....
Mwanzo nlikwambia atatobolewa macho....hayo ndo ntakayoyatafuta!!!
Hehehehe adress mwambie aje Ungalimited....kama anatokea Sinoni avuke tu mto mi nakaa nyumba ya kwanza toka mtoni!!!