Faida za kua domozege

Faida za kua domozege

Ni kweli kabisa ,kila kitu hapa duniani kina faida na hasara, domozege wengi huwa siyo malaya sana ukilinganisha na wale wanaojua kutongoza sana . domozege wengi siyo malaya kwa sababu wanashindwa kutongoza wanawake .Tunajua kuwa ukipenda sana ngono huwezi kufanikiwa kwenye masomo kwa sababu muda mwingi utakuwa unautumia kwenye uzinzi na matokeo yake hufeli masomo wakati domozege wengi hutumia muda wao mwingi kusoma kuliko mapenzi. Kwenye biashara ukiwa malaya sana huwezi kufanikiwa kwa sababu pesa nyingi hutumia kuhonga wanawake unaowatongoza na kuzini nao , domozege wengi kwasababu hawajui kutongoza pesa yao hutunia zaidi kuongeza mtaji na huendelea zaidi kuliko wanaojua kutongoza
mara nyingi domozege huwa na busara zaidi kuliko walewanaojua kutongoza.
 
utafiti wangu umeonyesha kua wanaume wengi waliofanikiwa katika maisha au kielimu hii imesababishwa sana na wao kua madomo zege,,wanaume wa jinsi hii hutumia muda wao mwingi sana kujibidiisha katika mambo yao ili wapate mafanikio na pia hua na imani kubwa ili waweze kuwavutia wanawake na kuwapata basi lazima wawe na mafanikio ama pesa,kwani kwao kuzungumza na mwanamke na kuonyesha hisia zao ni ngumu,,hivyo huamua kuzungumza kwa vitenda,,mafanikio yao ndio maneno ya kumvutia msichana...
Unataka kusema ndio maana Lipumba na Slaa walifanikiwa kielimu kuliko JK....? Na kumbe ndio maana Ridhiwani ni tajiri kuliko JK....?
 
faida ya domozege ni kuongezeka kwa corner bar na buguruni nyingi.
 
utafiti wangu umeonyesha kua wanaume wengi waliofanikiwa katika maisha au kielimu hii imesababishwa sana na wao kua madomo zege,,wanaume wa jinsi hii hutumia muda wao mwingi sana kujibidiisha katika mambo yao ili wapate mafanikio na pia hua na imani kubwa ili waweze kuwavutia wanawake na kuwapata basi lazima wawe na mafanikio ama pesa,kwani kwao kuzungumza na mwanamke na kuonyesha hisia zao ni ngumu,,hivyo huamua kuzungumza kwa vitenda,,mafanikio yao ndio maneno ya kumvutia msichana...

Its true. Ukiwa nae una uhakika wa kuwa peke yako.

Ila mara nyingi huwa hawadumu kwenye mahusiano, wanaishia kuchunwa au mwanamke anakuwa na kidumu pembeni. Uwezo wao wa kumu -handle mwanamke unakuwa mdogo since apart from money mwanamke anahitaji special attention including maneno mazuri ambapo madomo zege hawana ujuzi huu.
 
Back
Top Bottom