blackgold engineer
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
utafiti wangu umeonyesha kua wanaume wengi waliofanikiwa katika maisha au kielimu hii imesababishwa sana na wao kua madomo zege,,wanaume wa jinsi hii hutumia muda wao mwingi sana kujibidiisha katika mambo yao ili wapate mafanikio na pia hua na imani kubwa ili waweze kuwavutia wanawake na kuwapata basi lazima wawe na mafanikio ama pesa,kwani kwao kuzungumza na mwanamke na kuonyesha hisia zao ni ngumu,,hivyo huamua kuzungumza kwa vitenda,,mafanikio yao ndio maneno ya kumvutia msichana...