Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Si tumbo litaoza ?leta dawa ya asili inayoondoa uwezekano wa kutengeneza kijambo yaani ukae hata masaa 13 au siku nzima bila kujamba
mkuu wewe interval yako ipoje hahahaSi tumbo litaoza ?
Mkuu mimi walau kutwa mara tatumkuu wewe interval yako ipoje hahaha
Mkuu mimi walau kutwa mara tatu
Wana sayansi watusaidie kuvumbua filter ambayo inachuja harufu mbaya ya kijambo.Kuna tafiti nyingine zilisema kwa kawaida mtu hujamba mara nyingi kwa siku hata kufikia mara 20 bila kujijua au kutoa harufu mbaya. Kwa hiyo hizo mara 3 ni zile unazojamba wakati unajitambua.
Wanasema kunauwezekano wa kujamba bila kujijua:-
-Wakati tumbo linapounguruma
-Wakati unapocheka
-Wakati unatembea n.k
Wana sayansi watusaidie kuvumbua filter ambayo inachuja harufu mbaya ya kijambo.
Wana sayansi watusaidie kuvumbua filter ambayo inachuja harufu mbaya ya kijambo.
we Mzee bhana khaateh teh teh😀![]()
![]()
![]()
we Mzee bhana khaa