Faida za kiafya kunywa chai tiba

Faida za kiafya kunywa chai tiba

33e88e7e-97f6-45aa-9e2d-65997e61a271.jpeg
 
Hali huwaje?..nasikia hii husaidia kutoa uchafu kooni
yawezekana sababu inasaidia vingi,ila kwamimi hunifanya mwili ku relax na hatakama nilikua sina hamu ya kula baada ya muda hupata njaa,,ila hutakiwi kujamba mbele za watu 🤢,na pia kama ni mtu wa jasho sana utanuka vitunguu kila uendako,man hupenya na kufungua vinyweleo.
 
yawezekana sababu inasaidia vingi,ila kwamimi hunifanya mwili ku relax na hatakama nilikua sina hamu ya kula baada ya muda hupata njaa,,ila hutakiwi kujamba mbele za watu 🤢,na pia kama ni mtu wa jasho sana utanuka vitunguu kila uendako,man hupenya na kufungua vinyweleo.
Sipati picha hilo shuzi, nuclear ya Iran ikasome
 
Vipi nikichanganya mdalasini, tangawizi, majani ya mpera na asali kuna shida?.

Au

Nichanganye tangawizi, pilipili manga, mdalasini na asali?
Vizuri kila mmea ukiutumia mwenyewe labda uwe na elimu ya mimea kujua components zake ili usije tengeneza sumu mwilini
Kabisa yani sijawahi kupenda kunywa chai kabisa
Kunywa juice ya chai badala ya chai
 
Back
Top Bottom