Faida ya kuwa na mali nyingi ni nini kama wakati wa shida hazikusaidii?

hata mimi sioni maana yake.. mtu jna kampuni kama tatu mzuka kila wiki unagawa mapesa kwa washindi wa bahati nasibu.. why zisichotwe kiasi zikakutibia mmiliki... mtu una mradi kama escape one, au tht au share redio kubwa nchini.. why usiuze hata share zako.. au ukamkodisha mtu escape one.. hela wewe ukajitibia..

nyumba kibao mjini... ila bado unaumwa unakosa pesa.. unaomba mchango kwa watu usiowajua...

faida ya utajiri. sijauona kwa kweli kama ni hivi
Huo ni aina ya utapeli ambapo wanataka wasitumie gharama kwenye matibabu yao. wenye mali wanawaomba masikini kugharamia matibabu yao. yy kipindi hajaumwa amesaida wangapi?
 
habari wadau.

maana ya kuwa na asset na mali nyingi ni nini?

kama hata ukiumwa hazikusaidii chochote unabebesha mzigo wengine..

tujadili hili kazi ya asset ni nini?

je tunatafuta mali za kazi gani?

sio roho mbaya au nzuri.. tujenge hoja kwa akili
Kuna magonjwa hayapigi magoti kwa pesa, kama unabisha mkumbuke Steve Job.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na masharti ya mganga maana % kubwa mnaamini ndumba

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Suala sio bima suala ni je anakosa pesa ya kujilipia pamoja na asset alizo nazo?

Unajua wabongo tufikie hatua tuache kukuza majina yenye mbwembwe za kuaminisha watu tuna pesa, ikifika saa Sir God akatoa pazia kila kitu kinakuwa hadharani.

Hata Diva pamoja na mbwembwe na jina aliwai tafta mil 15, akapanfikiziwe mbegu za kiume za wazungu apate mimba. Thats insane

Dumelang
Umeenda mbali sana mkuu simu yake tu ilivunjika kioo na kiooo in laki 6 lakini alikuwa anaomba msaada
 
maana ya kuwa na asset na mali nyingi ni nini?

kama hata ukiumwa hazikusaidii chochote unabebesha mzigo wengine..
Kijana wangu Mtoa mada,
Kwanza kabisa inabidi uondoe Dhana Potofu, kuhusu kuwa na Asset na Mali nyingi na kuomba msaada kwa wengine wakati wa changamoto.

Ieleweke kwamba Hata kama utakuwa na Asset, huwezi kujilimbikizia kiasi cha kuwa na uhakika ni Shida gani itakukuta Eg ya kiafya;
Unaweza ukawa na Mali na Asset za kutosha hata lets say 500 Billion; Kisha ukapata changamoto of which it cost you Direct cost let say 12 million per day; Sasa je hiyo ni kitu gan kwenye 500 Billion??

Kumbuka most of time, problems ni one way cost, hivyo hata kama cash flow yako itakuwa inaendelea, ila fahamu kwamba itaingia na kutoka this side;

Miaka ya 96 au 97 kama sikose, Tulichangishwa fedha za kiongozi mkubwa tu, alikuwa matibabu USA;Baada ya kongamano tulilokuwepo kuisha, tuliombwa ku-fundraise, mmoja wa wanafamilia wa kiongozi huyo alikuja kuomba msaada wa support; Kumbuka kwamba hakuwa vibaya sana kifedha lakini tatizo lake lili-exceed ukwasi aliokuwa nao.

Na watu walichanga, Hivyo basi wewe una mapokeo mabovu; ndio tatizo lako mwanangu
 
mbona unazunguka.. bima zetu nyingi ni tunalipiwa na waajiri.. nikakupa mfano hata wakati nipo embassy bima ilikuwa haitutibu nje.. nikakupa mfano wa mzazi.. ama tundu lissu.

kwa akili yako unafikiri ruge ni mjinga kutojua umuhimu wa bima? unajua familia aliyozaliwa ruge. uwezo wao kiakili na hata kifedha?

unataka kusema baba yake ruge professa mutahaba aliemsomesha ruge marekani degree yake asijue umuhimu wa bima ya afya?

nikakupa mfano wa tundu lissu. hapo agha khan kenya tu.. so unahisi tundu lissu hana akili ya kujua umuhimu wa bima? au mbowe na chadema wote ni wajinga hawajui umuhimu wa bima kuokoa gharama??

bima zetu nyingi za ndani zina limit.. na ndizo tunazitumia..

unataka kusema wewe una akili kuliko ruge? au baba yake ruge, au ukooo wa kina ruge wenye kila aina ya maendeleo wasijue maana ya bima??

weka mambo kiuhalisia.. usilazimishe ushindi hata sehemu zisizo sahihi..

sijakataa zipo bima zinazokutibu hata ucla alipofia michael jackson?

lakini hizo sio hizi bima tunazolipia milioni 1.5m, 5 ama hata 10m kwa mwaka waajiri wanazotukatia..

bima karibu zote tulizo nazo watanzania hata wabunge na ma ceo . hazitibu nje ya nchi.. hadi kibali maalumu na mkata bima aweke mahela ya ziada akipata dharura ya nje ya nchi.. ama ajitibu mwenyewe nje ya nchi..

nimepinga kusema ruge hana bima.. maana hata wafanyakazi anaowaajiri tu clouds kina mchomvu na mbwiga anawapa bima.. sema bima yake ndio zile zetu za kibongo bongo.. ikijitahidi sana mwisho agha khan
Aise hahahahaaa haya mambo bwana mbombo ngafu
 
Back
Top Bottom