Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,398
Tatizo dada zetu hawalijui hilo na ukitaka kuamini we kua dereva hata wa STK au STL uone balaa lake.pm za nini? kwani kazi ya mzee wako unairithi ??
hizo ni dhamana tu,... angalau angekuwa na kampuni kama bakhressa unajua nawe utarithi sababu ni yenu familia.. unaanza kujidai
Maendeleo hayana chama