SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 214
- 431
Tuambiazane faida za kumtafuta au za kumpata mwanaume mitandaoni wanadumu.
Naje kwa mwanamke yeye hatapeliwiKwa upande wa kumtafuta mwanamke, Faida ni kuwa utatapeliwa zaidi ya mara moja ndipo umpate mkweli
Ni kweliNi ujinga,wastage of time
Mara nyingi wanawake wanatapeliwa muda wao na siyo pesaNaje kwa mwanamke yeye hatapeliwi
TrueMara nyingi wanawake wanatapeliwa muda wao na siyo pesa
Ndio momNi kweli
Kabisa 💯Mara nyingi wanawake wanatapeliwa muda wao na siyo pesa
Unakuta mtu kumake desicion ya maana anawaste time yako tu. Na hayupo serious alikuja kukufahamu tu upoje basiNdio mom
Wengi huja maishani kukuchunguza wapate cha kusimuliana jfUnakuta mtu kumake desicion ya maana anawaste time yako tu. Na hayupo serious alikuja kukufahamu tu upoje basi
Ni kweli halafu kwisha kazi unakuwa gumzo la kitaaWengi huja maishani kukuchunguza wapate cha kusimuliana jf
Una roho mbaya wwKama umeshindwa kumpata mpenzi hilo eneo ulipo, basi jaribu kuendelea na maisha ya kawaida.
KabisaNi kweli halafu kwisha kazi unakuwa gumzo la kitaa
Yaani wengine wanakutesa tesa kisa huna namnaKabisa
Sawa so sio mbaya kutafuta hukuFaida zipo na unaweza usizipate, usizipate kwanini......?
kutofahamu sehemu/dating sites sahihi ya kumpata unayemhitaji.
Ufahamu finyu wa mambo ya kuzingatia unapomtafuta mpenzi mtandaoni,hapa ni lazima ukutane na zulu man kibaka wa tandale au kale ka binti katapeli toka magomeni.
Je,malengo yako/yenu ni nini kwa unayemtafuta?
Mambo ni mengi haswa.....
Binti,uko dunia ya ngapi?
Namna unayo bwana usiseme huna namna wakati umeifunika na Kyupi😀Yaani wengine wanakutesa tesa kisa huna namna