kupunguza unene Kunywa juisi ya limau iliyochanganywa na asali glasi moja kila siku ili kuondoa tatizo hilo.mimi nilikuwa nataka ya kupunguza unene....mzizi ulishaleta hiyo...?.....kama bado hebu nitupie......
kupunguza unene Kunywa juisi ya limau iliyochanganywa na asali glasi moja kila siku ili kuondoa tatizo hilo.
mkuu hata ukibahatika pata mayai ya ng'ombe husaidia saanaWee unashangaa juisi ya kitunguu? Maziwa ya samaki je?
Usiwasikilize watu Preta nisikilize mimi Mtaalam wako siweze kukupa sumu ondosha wasiwasi. hao wanaosema hawana ushahidi wowote ule achana nao hao. Kwa Ushahidi wangu huo hapa ,Kama unajuwa Lugha ya Kiingereza hebu bonyeza hapa Honey Weight Loss, Honey And Lemon Juice Will Help Your Weight Loss Diet Home Remedy For Weight Reduction Lose Weightmmmh...Mzizi....si ndio hii wanasema limao/ndimu na asali ni sumu....?
Usiwasikilize watu Preta nisikilize mimi Mtaalam wako siweze kukupa sumu ondosha wasiwasi. hao wanaosema hawana ushahidi wowote ule achana nao hao. Kwa Ushahidi wangu huo hapa ,Kama unajuwa Lugha ya Kiingereza hebu bonyeza hapa Honey Weight Loss, Honey And Lemon Juice Will Help Your Weight Loss Diet Home Remedy For Weight Reduction Lose Weight
Mkuu na ingine hii Faida ya kitunguu saumu bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/81579-maandalizi-ya-kitunguu-saumu-kimadawa.htmlSafi sana mkuu..
Pia nakumbuka ulishawahi kupost kuhusu Kitunguu Saumu.
Ambao wangependa kuijua, ni hii hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/51532-kitunguu-swaumu-kinazuia-influenza.html
Mzizimkavu mie naomba msaada maana tatizo nililona hata sijui ni nini, maana nina kama ukurutu miguuni, ambao huwa unawasha wakati mwingine, ambako huko kuwasha huwa kuna endelea na kunisababishia kujikuna saana nafuu yangu huwa ni endapo sehemu ninyojikuna itatoa kama kiuvimbe hivi ambacho nitakitoboa na kutoa vitu kama maji basi hapo ndo ahueni yangu, tafadhali saidia
Ukila kwa wingi Vitunguu maji husababisha Gesi tumboni sio Minyoo. Unakula vitunguumaji vyekundu wakatim unakula chakula kama Salata tu sio kula kila wakati kwanza vitunguu vinatoa harufu mbaya mdomoni.Nilisikia ulaji wa vitunguu husababisha minyoo mwilini...vipi hapo kuna ukweli wowote? tupe ufafanuzi mkuu.